Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Mara nyingi tunaangalia mbele na kusema "sijafanya chochote maana ninapo enda ni mbali sana"
Week iliyopita nilikutana na class mates wangu tulio maliza wote darasa la saba (LY,haha)
Nikakumbuka,katika darasa lile,tulimaliza watu 68 mwaka huo ila:-
*ni watu wa nane (8) tu tulio chaguliwa kuingia kidato cha kwanza.
*katika hao wanane,ni watu 6 tu tulio maliza form four
*katika hao 6,ni wawili tu tulio ingia advance.
*katika hao wawili,tuliingia wote chuo.
Nikafikiria,hao wengine 66 wako wapi?
Ofcourse,wengine hawakusoma lakini wana maisha mazuri tu,ni kama wa3 kati ya wote
ninao wafahamu.
Nilitokwa na machozi kwani hii ilikua sababu tosha kwangu
kumshukuru Mungu kwani alipo nitoa ni mbali haijalishi naenda wapi.
Unawakumbuka watu ulio maliza nao darasa la 7(maana hawa ndio mlikua wote utotoni)?
wako wapi na wana hali gani?
Week iliyopita nilikutana na class mates wangu tulio maliza wote darasa la saba (LY,haha)
Nikakumbuka,katika darasa lile,tulimaliza watu 68 mwaka huo ila:-
*ni watu wa nane (8) tu tulio chaguliwa kuingia kidato cha kwanza.
*katika hao wanane,ni watu 6 tu tulio maliza form four
*katika hao 6,ni wawili tu tulio ingia advance.
*katika hao wawili,tuliingia wote chuo.
Nikafikiria,hao wengine 66 wako wapi?
Ofcourse,wengine hawakusoma lakini wana maisha mazuri tu,ni kama wa3 kati ya wote
ninao wafahamu.
Nilitokwa na machozi kwani hii ilikua sababu tosha kwangu
kumshukuru Mungu kwani alipo nitoa ni mbali haijalishi naenda wapi.
Unawakumbuka watu ulio maliza nao darasa la 7(maana hawa ndio mlikua wote utotoni)?
wako wapi na wana hali gani?