Nimewamiissssssss

Kabakabana

JF-Expert Member
Aug 5, 2011
5,551
1,158
habari za jioni marafiki?nilikuwa kimya sana kwasababu nilisahau password lakini tupo pamoja sana
 
Thank you for making my day... for kweli nimecheka bila kutegemea..... Dah! PW umeipata wapi sasa??
 
habari za jioni marafiki?nilikuwa kimya sana kwasababu nilisahau password lakini tupo pamoja sana
<br />
<br />
Punguza uzembe kijana, Next time kuwa makini, bora usahau namba yako ya simu, jinsia yako ama umri wako lakini si Username or password ya Jf. Karibu sana, tupo humu. Nyani ngabu, Mr.ChweChwe na Malaria Sugu pia wamekumic!
 
<br />
<br />
Punguza uzembe kijana, Next time kuwa makini, bora usahau namba yako ya simu, jinsia yako ama umri wako lakini si Username or password ya Jf. Karibu sana, tupo humu. Nyani ngabu, Mr.ChweChwe na Malaria Sugu pia wamekumic!


jamani mbona nasikia malaria sugu kawa banned amerudi tena?
 
Thank you for making my day... for kweli nimecheka bila kutegemea..... Dah! PW umeipata wapi sasa??


aisee sijui ilikuwa ni stress au vipi,lakini leo nimetulia nikawa nawaza kitu gani nakipenda maana ndio hyo password dah ghafla nikashtuka na kulog in haraka nimefurahi kweli
 
Mimi je? Yan nimekumiss mpaka nataka nije mpwapwa kwa mguu, ila usijali, nikipata nauli mpwapwa ntakufuata... Mi mzima wa afya mpendwa..
<br />
<br />
hahaha! Usije kwa miguu utatoka vigimbi. Lol!
Poa mpendwa kama upo mzima.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom