thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Hakika watanzania na wanadamu kwa ujumla hawana jema ,jema kwao ni pale linapokua na maslahi yao binafsi na si jamii kwa ujumla.
Nakuomba Rais Magufuli usibadili vision yako kwa nchi hii kupitia tuhuma za hawa ngulu mbili.fanya unachokiamini .
Kwani muda wa kustaafu utafika utaona jinsi baadhi ya watanzania walivyo wanafiki ,baada ya awamu ya sita kuingia madarakani.
Kiukweli kikwete alipondwa sana,na sasa kawa lulu,thread ipo lakini haohao waliomponda leo wanaipita kimyakimya kama si wao waliokoment.
Mwanadamu kaumbwa na hulka ya kutoridhika,ni kwenda nae hivyohivyo tu,
Cha msingi tumia muda wako barabara.
Nakuomba Rais Magufuli usibadili vision yako kwa nchi hii kupitia tuhuma za hawa ngulu mbili.fanya unachokiamini .
Kwani muda wa kustaafu utafika utaona jinsi baadhi ya watanzania walivyo wanafiki ,baada ya awamu ya sita kuingia madarakani.
Kiukweli kikwete alipondwa sana,na sasa kawa lulu,thread ipo lakini haohao waliomponda leo wanaipita kimyakimya kama si wao waliokoment.
Mwanadamu kaumbwa na hulka ya kutoridhika,ni kwenda nae hivyohivyo tu,
Cha msingi tumia muda wako barabara.