Nimewachukia sana wanaume mnisamehe

lufuo

Member
Feb 21, 2015
97
34
Wanaume nimewagopa sana sina hamu na nyie. Nilikuwa na mchumba, nikapata mimba akawa amefurahi sana. Basi tukakubaliana tukaweka mikakati yetu.

Tulikuwa tunaishi mkoa moja mimi nikapata kazi mkoa mwingine ikabidi tuwe mbali ila tukawa tunaonana mara chache hadi nilipata hii mimba. Tuliwasiliana kwa simu hadi mimba ikiwa na wiki 6 mwenzangu akakata mawasiliano hadi leo ina miezi nane.

Nimehangaika kuwasiliana na watu wake wa karibu wananiambia hata wakiongea nae hakuna anachowaambia akiwemo hadi boss wake maana aliyajua mahusiano yetu vizuri tuu akaniambia labda anaogopa majukumu.

Nimshukuru tuu Mungu kwani tangu nipate mimba hii sijawahi ugua hata mafua naendelea vizuri na maisha yangu, nalea peke yangu.

Ila napata shida moja ya kisaikolojia, nimewachukia wanaume natamani nizae mtoto wa kike. Nilienda kucheck utrasound kwa lengo la kuangalia jinsia ikabidi nighairi though nikuwa nimeshalipia maana nawaza nikiambiwa ni wa kiume nitakuwa dissapointed.

Nimeamua tuu hata nikizaa mtoto nimpe jina la ukoo wetu maana baba yake haangaiki na chochote kwanza ndio kaniblock sehemu zote za mawasiliano. Kama yupo mwanasaikolojia naomba anishauri tuu maana nimechukia mnoooo!!!!!
 
Wanaume nimewagopa sana sina hamu na nyie. Nilikuwa na mchumba nikapata mimba akawa amefurahi sana basi tukakubaliana tukwaweka mikakati yetu. Tulikuwa tunaishi mkoa moja mm nikapata kazi mkoa mwingine ikabidi tuwe mbali ila tukawa tunaonana mara chache hadi nilipata hii mimba. Tuliwasiliana kwa cm hadi mimba ikiwa na wiki 6 mwenzangu akakata mawasiliano hadi leo ina miezi nane. Nimehangaika kuwasilianà na watu waje wa karibu wananiambia hata wakiongea nae hakuna anachiwaambia akiwemo hadi boss wake maana aliyajua mahusiano yetu vzr tuu akaniambia labda anaogopa majukumu. Nimshukuru tuu Mungu kwani tangu mimba hii sijawahi ugua hata mafua naendelea vrz ba maisha yangu nalea peke yangu. Ila napata shida moja ya kisaikolojia nimewachukia wanaume natamani nizae mtoto wa kike nineenda kucheck utrasound kwa lengo la kuangalia jinsia ikabidi nighairi thou nikuwa nimeshalipia maana nawaza nikiambiwa ni wa kiume nitakuwa dissapointed. Nimehamua tuu hata nikizaa mtoto nimpe jina la ukoo wetu maana baba yake haangaiki na chochote kwanza ndio kaniblock sehemu zote za mawasiliano. Kama yupo mwanasaikolojia naomba anishauri tuu maana niko desparate nimechukia mnoooo!!!!!
inabidi upate mtu wa kukupa faraja kila mda na awe wa kiume
 
Wala nshasahau namsubiri tuu mwanangu kwa hamu niitwe mama thou na age imeenda pia. Sina mpango tena na kiumbe wa mtuu
Amini kwamba sio kila mwanaume yupo hivyo kwa hali uliyonayo ukiwa katika hiyo unaweza sababisha madhara kwa mwanao pia jaribu kuweka urafiki
 
duh......

Umetendwa na mtu mmoja halafu unasema wanaume wote wabaya hii sio haki

Don't be too general....tambua kua wanaume wote si wa mzaz mmoja afu pia wamekulia mazngra tofaut so automatic tabia lazma ztofautiane.....kwaiyo kutendwa na mtu mmoja ukawachukia wote sio haki kabsa.......
 
Ndiyo
duh......

Umetendwa na mtu mmoja halafu unasema wanaume wote wabaya hii sio haki

Don't be too general....tambua kua wanaume wote si wa mzaz mmoja afu pia wamekulia mazngra tofaut so automatic tabia lazma ztofautiane.....kwaiyo kutendwa na mtu mmoja ukawachukia wote sio haki kabsa.......
ndiyo maana nasema imeniharibu kisaikolojia hata nature ya kazi yangu nikumuatend mwanaume huwa nawaza ni wapi pa kumuumizia sijui ndio kukipiza hata sielewi
 
Pole sana ukweli harisi wanaume ndivyo tulivyo japo si wote. Si mimba tu kuna wengine ukimvulia tu chupi ndo ushaagana nae, lkn tatizo ni moja tu nyie dada zetu, mnawaamini sana wanaume wasomi kuliko sie wanazengo ambao hakika ni waaminifu na tunaojali. Punguza mawazo na naamini utajifungua salama. We learn through mistakes. Pole sana
 
Wanaume nimewagopa sana sina hamu na nyie. Nilikuwa na mchumba nikapata mimba akawa amefurahi sana basi tukakubaliana tukwaweka mikakati yetu. Tulikuwa tunaishi mkoa moja mm nikapata kazi mkoa mwingine ikabidi tuwe mbali ila tukawa tunaonana mara chache hadi nilipata hii mimba. Tuliwasiliana kwa cm hadi mimba ikiwa na wiki 6 mwenzangu akakata mawasiliano hadi leo ina miezi nane. Nimehangaika kuwasilianà na watu waje wa karibu wananiambia hata wakiongea nae hakuna anachiwaambia akiwemo hadi boss wake maana aliyajua mahusiano yetu vzr tuu akaniambia labda anaogopa majukumu. Nimshukuru tuu Mungu kwani tangu mimba hii sijawahi ugua hata mafua naendelea vrz ba maisha yangu nalea peke yangu. Ila napata shida moja ya kisaikolojia nimewachukia wanaume natamani nizae mtoto wa kike nineenda kucheck utrasound kwa lengo la kuangalia jinsia ikabidi nighairi thou nikuwa nimeshalipia maana nawaza nikiambiwa ni wa kiume nitakuwa dissapointed. Nimehamua tuu hata nikizaa mtoto nimpe jina la ukoo wetu maana baba yake haangaiki na chochote kwanza ndio kaniblock sehemu zote za mawasiliano. Kama yupo mwanasaikolojia naomba anishauri tuu maana niko desparate nimechukia mnoooo!!!!!
Nilikutongoza ili nikuoe ukanipotezea kisa mwalimu.
Naona umevuna matunda.
Hakuwa type yako dada.
Pole sana
 
Wanaume nimewagopa sana sina hamu na nyie. Nilikuwa na mchumba nikapata mimba akawa amefurahi sana basi tukakubaliana tukwaweka mikakati yetu. Tulikuwa tunaishi mkoa moja mm nikapata kazi mkoa mwingine ikabidi tuwe mbali ila tukawa tunaonana mara chache hadi nilipata hii mimba. Tuliwasiliana kwa cm hadi mimba ikiwa na wiki 6 mwenzangu akakata mawasiliano hadi leo ina miezi nane. Nimehangaika kuwasilianà na watu waje wa karibu wananiambia hata wakiongea nae hakuna anachiwaambia akiwemo hadi boss wake maana aliyajua mahusiano yetu vzr tuu akaniambia labda anaogopa majukumu. Nimshukuru tuu Mungu kwani tangu mimba hii sijawahi ugua hata mafua naendelea vrz ba maisha yangu nalea peke yangu. Ila napata shida moja ya kisaikolojia nimewachukia wanaume natamani nizae mtoto wa kike nineenda kucheck utrasound kwa lengo la kuangalia jinsia ikabidi nighairi thou nikuwa nimeshalipia maana nawaza nikiambiwa ni wa kiume nitakuwa dissapointed. Nimehamua tuu hata nikizaa mtoto nimpe jina la ukoo wetu maana baba yake haangaiki na chochote kwanza ndio kaniblock sehemu zote za mawasiliano. Kama yupo mwanasaikolojia naomba anishauri tuu maana niko desparate nimechukia mnoooo!!!!!

Thanx dear nshapoa Sikh nyingi

Ungekuwa umepoa siku nyingi usingekuwa unasikitika leo na kufikia kushare nasi vile unavyochukia wanaume. Halafu huna haja ya kuchukia wanaume wote mchukie huyo mpuuzi asiye na mapenzi nawe. Utakuta unachukia wanaume na pengine aliyekuajiri ni mwanaume.
 
Pole sana ukweli harisi wanaume ndivyo tulivyo japo si wote. Si mimba tu kuna wengine ukimvulia tu chupi ndo ushaagana nae, lkn tatizo ni moja tu nyie dada zetu, mnawaamini sana wanaume wasomi kuliko sie wanazengo ambao hakika ni waaminifu na tunaojali. Punguza mawazo na naamini utajifungua salama. We learn through mistakes. Pole sana
Kweli kabisa hawajitambui.
 
Back
Top Bottom