babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,107
- 16,001
mkuu nishawahi kuwa na chombo matata ndani hapo bongo.nilitafuniwa sitasahau jinsi ilivyoniumiza,nilikaribia kuwa chiziWasiwasi wako tu nakuhakikishia ukimwamini mkeo hata yeye atajiheshimu,ukimtilia shaka naye anakata tamaa siaminiwi acha nifanye kweli.