bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,344
- 6,733
Hakuna hiyo kitu. Mimi nilikuwa na kibubu nikakitunza mwaka mzima. Siku niliyofungua nilishangaa! Lakini nilikuwa naweka elfu kumi kumi, nachanga zikifika kumi nachenji na naweka 10 ndani ya kibubu ili kisijae haraka.Kumbe nikweli ukinunua hela zinapotea?