macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,696
- 39,390
Asante sana kwa offer mkuu. Kwa sasa sipo karibu ila wazo lako nimelipenda. Pia kuna wakati nilishaomba sana hapa JF watu wanaojua nyumba zenye majini, mizimu na kila aina ya mauzauza na watu wanaogopa kulala ndani basi waniambie ili nikalale huko hata mwezi mmoja. Hizo fedha zako kuna mtu tu alikuwa anakulia time na kuiba kama kweli hukukosea kuhesabu.Nashangaa jamaa wanalazimisha kuwa nimeibiwa na ndugu yangu ninayeishi naye, wakati naishi peke yangu
Mkuu wewe kama uko karibu na kigamboni sema tufanye mpango nikununulie kibubu niliponunua mimi na nikupe bure kabisa, weka hela na baada ya muda kivunje unipe taarifa.