Simplelady
Member
- Oct 26, 2009
- 44
- 22
Habari zenu wana jf. Mchumba wangu nimemfumania na mwanamke mwengine na kwa hasira nikagombana na huyo mchmba wangu, pia niakenda kumwambia huyo mwanamke amwache mchumba wangu. Lakini mwanaume akasema mimi siwezi mwacha huyo mwanamke kwani nampenda.
Nikaamua kuondoka zangu lakini roho inaniuma sana kwa kitendo alichonifanyia huyu bwana na sasa nimekuwa mpweke kwani sikuwa na mwanaume mwingine wa pembeni ambaye labda angenifariji sasa.
Naomba ushauri wenu nifanyeje ili kukabiliana na maumivu haya ya mapenzi?
Nikaamua kuondoka zangu lakini roho inaniuma sana kwa kitendo alichonifanyia huyu bwana na sasa nimekuwa mpweke kwani sikuwa na mwanaume mwingine wa pembeni ambaye labda angenifariji sasa.
Naomba ushauri wenu nifanyeje ili kukabiliana na maumivu haya ya mapenzi?