Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,063
- 11,109
Niliacha kuvaa t-shirt nikawa navaa mashart then nafunga vifungo mpaka juu sh ngoni,kuficha mapele ya kifuani...Ulimuambiaje mama?
Pamoja na kujifichaficha mama aligundua..ila hakujua ni ugonjwa gani..
Nilimwambia tu mama kwa upole uku machozi yananilenga.
"Mama nahisi nina ugonjwa wa zinaa"
Nahisi alionganisha dot na mapele yangu ya kifuani.
Hakuwahi niuliza chochote wala hatukuwahi kulizungumzia mpaka leo.