Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,125
Mkuu unayo maradhi ya gono sugu lisilo sikia dawa za Hospitali. Nitafute mimi kwa wakati wako ili nipate kukutibia maradhi yako upate kupona.Hatari siku kadhaa mwez 8 nilimla mtoto mmoja hivi!!
Sasa baada ya hapo nikawa nasikia kitu kinatekenya kwenye dudu!!
Nikaenda nikapima hawakuona kitu
Hali ikaendelea mpaka mwez wa9!! Ambapo nikaanza kuwashwa ndani na baadae discharge
Nikaenda hospitali treatment wiki mbili? Nafuu tena hali ikarudi
Nikaenda tena treatment hali ikarudi
Nikaenda tena
Nikaenda tena
Yaani hadi saa hizi bado niko na shida sijui nimepata vidudu gani havisikii dawa wala sindano!!
Jamani tutumieni condom hata kama mmepima HIV!!
Nawaza nikipona nisijefanya mapenzi tena