kofia ya plastiki
JF-Expert Member
- Jun 9, 2019
- 416
- 404
Wakuu chap chap niwezesheni nimalize kujaza form niwatumie Kuna kipengere cha GEF number sijaelewa nijaze nini
Ni kitengo cha mikopo ya wajasiriamali
Ni kitengo cha mikopo ya wajasiriamali
Nilijaza online form nikatumiwa nyingine kwa njia ya email Kua niprint nijaze Kisha ni scan niwatumie.. Mkopo wa wajasiriamali mkuuUliomba hiyo fomu?.Ni mkopo wa nini?.
Rudia kusoma ulichoandika mkuuMbona waziri mpango alikanusha kua wizara inatoa mikopo kwa wajasilia mali...
Lakini huu si mpango wa serikali ku grant raia? Sasa haya mambo ya kuanza kutoa na wakat pale Walisema hakuna mashartiHiyo GEF ni Global Entrepreneurship Forum mkuu...ila nahisi wana kautapeli maana hata mimi hiyo form ya kwanza nilijaza wakanitumia hiyo ya pili nikawauliza GEF number ni nini? Wakaniambia ni number unayopewa baada ya kusajiliwa kwenye global entrepreneurship forum,,, then wakanipa jina la Dada anaitwa Joan yuko Kenya Nairobi eti,,, nikawasiliana naye akanitumia email yenye maelezo mengii halafu wakawa wameandika kwamba kupata hiyo GEF number inabid kuchangia 350, 000 Mimi nikaamua kuachana nao.
Hawa ni matapeli mkuu, wizara ya fedha ilishakanusha taarifa huyo,Lakini huu si mpango wa serikali ku grant raia? Sasa haya mambo ya kuanza kutoa na wakat pale Walisema hakuna masharti
Hiyo inaitwa gusa moja uone mbiliHiyo GEF ni Global Entrepreneurship Forum mkuu...ila nahisi wana kautapeli maana hata mimi hiyo form ya kwanza nilijaza wakanitumia hiyo ya pili nikawauliza GEF number ni nini? Wakaniambia ni number unayopewa baada ya kusajiliwa kwenye global entrepreneurship forum,,, then wakanipa jina la Dada anaitwa Joan yuko Kenya Nairobi eti,,, nikawasiliana naye akanitumia email yenye maelezo mengii halafu wakawa wameandika kwamba kupata hiyo GEF number inabid kuchangia 350, 000 Mimi nikaamua kuachana nao.
Wezi kumbeHawa ni matapeli mkuu, wizara ya fedha ilishakanusha taarifa huyo,
Hakuna mkopo wa mtindo huo.
Hahahaahhah huu unaitwa ujambazi bila kutumia silaha mkuuHiyo inaitwa gusa moja uone mbili
Ni utapeli mkuuLakini huu si mpango wa serikali ku grant raia? Sasa haya mambo ya kuanza kutoa na wakat pale Walisema hakuna masharti
Mkuu nimecheka sana kweli wakati mwingine walimu wanavumilia mengi sana hasa akipata mwanafunzi mwenye kichwa kigumu kama hichi.Wizara ya fedha ndio inatoa mkopo unapewa jina na dada yuko Kenya bado plug azichomi tu dah!!!Kuna vichwa vigumu kuelewa magufuli wamuongeze mshahara km uyu pia ni mwananchi wake.
Hahahahahahaah hapo Mimi ndiyo nilianza kuona ukakasi mkuuWizara ya fedha ndio inatoa mkopo unapewa jina na dada yuko Kenya bado plug azichomi tu dah!!!Kuna vichwa vigumu kuelewa magufuli wamuongeze mshahara km uyu pia ni mwananchi wake.
Tutaona mengi basiHahahahahahaah hapo Mimi ndiyo nilianza kuona ukakasi mkuu
Kuna watu vihiyoWizara ya fedha ndio inatoa mkopo unapewa jina na dada yuko Kenya bado plug azichomi tu dah!!!Kuna vichwa vigumu kuelewa magufuli wamuongeze mshahara km uyu pia ni mwananchi wake.