Maleven
JF-Expert Member
- Sep 8, 2019
- 614
- 2,721
Naandika haya atleast kupunguza majonzi nilionayo moyoni.
Mimi ni kijana kutoka familia masikini sana, nimebahatika kupata kazi, nitazungumzia mshahara wa october.
Baada ya kupokea 280,000 kama mshahara wangu, nililipa elfu 60 deni lililokopa katikati ya mwezi, kisha nikamtumia mama elfu 10, nikamtumia mdogo wangu hela ya shule elfu 15 na rafiki yangu anaeoa machango wa 15 elfu. Roughly nilibakiwa na kama 180,000. (laki na themanini).
Sasa sijui imekuaje (naomba nisiseme ilivyotumia) ndani ya usiku mmoja nikatumia shiling 90 elfu kwa starehe tu za ajabu. Imeniuma sana kutokana na hali ya maisha ya nyumbani, ndugu zangu wengine hata kula ni shida. Sasa nimebakiwa na 90 elfu ambayo inabidi inifikishe mwisho wa mwezi wa kumi na moja.
Ni hayo tu ndugu zangu, siwezi kumwambia mtu huku
Mimi ni kijana kutoka familia masikini sana, nimebahatika kupata kazi, nitazungumzia mshahara wa october.
Baada ya kupokea 280,000 kama mshahara wangu, nililipa elfu 60 deni lililokopa katikati ya mwezi, kisha nikamtumia mama elfu 10, nikamtumia mdogo wangu hela ya shule elfu 15 na rafiki yangu anaeoa machango wa 15 elfu. Roughly nilibakiwa na kama 180,000. (laki na themanini).
Sasa sijui imekuaje (naomba nisiseme ilivyotumia) ndani ya usiku mmoja nikatumia shiling 90 elfu kwa starehe tu za ajabu. Imeniuma sana kutokana na hali ya maisha ya nyumbani, ndugu zangu wengine hata kula ni shida. Sasa nimebakiwa na 90 elfu ambayo inabidi inifikishe mwisho wa mwezi wa kumi na moja.
Ni hayo tu ndugu zangu, siwezi kumwambia mtu huku