Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Waungwana habari zebu
Niko na mwanamke na nimezaa nae watoto wawili ,na tunaishi mikoa Jirani
Huyu mwanamke bado sijamtolea mahari zaidi ya kishika uchumba
Sasa wiki iliyopita nlienda kumtembelea na kuwaona watoto
Nikakuta sintofahamu katika simu yake ,ikabidi nipige kwa huyo jamaa kujua ni nani yake(nilifanya hivi kwa sababu na yeye ana tabia ya kuchukua simu yangu na kuwapigia wote anaowahisi vibaya) basi bhana baada ya kupiga kwa jamaa nikaanza kutukanwa na jamaa na kujitapa kwamba wife ni mke wake
Tukaanza kutupiana maneno makali sana ,nikamfuata wife kumuuliza jamaa ni nani yake hajatoa jibu la kueleweka
Kiukweli nikapandwa na hasira na kuanza kumshushia kipigo kikali hadi anitajie huyo jamaa ni nani yake
Alipopata upenyo akakwapua simu akakimbilia chumbani na kufunga mlango,akampigia mamake simu na kunishtaki
Mamake ikabidi anipigie ,kwa kuwa nlikua na hasira sikutaka kupokea simu yake manake najua ningemjibu mbovu
Alipona sipokei simu yake ,mama akaanza kunitumia msg za kashfa Mara Mimi kahaba(sasa tangu lini mwanaume akawa kahaba) nimwache mwanae
Mara hajala hela Yangu nimwache mtoto wake
Matusi kibao na maneno ya kashfa yalimtoka yule mama
Mimi sikumjibu nlichoamua kubeba begi langu na kuondoka usiku huo huo
Sasa wife anaomba samahani na ananiambia kwamba mamake alinitumia msg zile kwa hasira
Sasa najiuliza huyu mama nimfanye nini awe na adabu na aache kuegemea upande wa mtoto wake badala ya kuuliza chanzo
Kanipandisha hasira sana ,nimfanyaje huyu mmama jamanii???????
Aaaaaghhhhrrrrrrrrrrr!!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko na mwanamke na nimezaa nae watoto wawili ,na tunaishi mikoa Jirani
Huyu mwanamke bado sijamtolea mahari zaidi ya kishika uchumba
Sasa wiki iliyopita nlienda kumtembelea na kuwaona watoto
Nikakuta sintofahamu katika simu yake ,ikabidi nipige kwa huyo jamaa kujua ni nani yake(nilifanya hivi kwa sababu na yeye ana tabia ya kuchukua simu yangu na kuwapigia wote anaowahisi vibaya) basi bhana baada ya kupiga kwa jamaa nikaanza kutukanwa na jamaa na kujitapa kwamba wife ni mke wake
Tukaanza kutupiana maneno makali sana ,nikamfuata wife kumuuliza jamaa ni nani yake hajatoa jibu la kueleweka
Kiukweli nikapandwa na hasira na kuanza kumshushia kipigo kikali hadi anitajie huyo jamaa ni nani yake
Alipopata upenyo akakwapua simu akakimbilia chumbani na kufunga mlango,akampigia mamake simu na kunishtaki
Mamake ikabidi anipigie ,kwa kuwa nlikua na hasira sikutaka kupokea simu yake manake najua ningemjibu mbovu
Alipona sipokei simu yake ,mama akaanza kunitumia msg za kashfa Mara Mimi kahaba(sasa tangu lini mwanaume akawa kahaba) nimwache mwanae
Mara hajala hela Yangu nimwache mtoto wake
Matusi kibao na maneno ya kashfa yalimtoka yule mama
Mimi sikumjibu nlichoamua kubeba begi langu na kuondoka usiku huo huo
Sasa wife anaomba samahani na ananiambia kwamba mamake alinitumia msg zile kwa hasira
Sasa najiuliza huyu mama nimfanye nini awe na adabu na aache kuegemea upande wa mtoto wake badala ya kuuliza chanzo
Kanipandisha hasira sana ,nimfanyaje huyu mmama jamanii???????
Aaaaaghhhhrrrrrrrrrrr!!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app