Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,305
- 29,828
Poleni na majukumu ya kila siku, ripoti ya CAG ni kituko sana. Yote kwa yote mimi ni mwanachuo nasoma chuo X katika jiji la Dar Es Salaam.
Lakini kwa wanaume wenzangu nadhani mnajua kuwa Kuna mda tunahitaji kuosha rungu Sasa mimi shida yangu ni moja.
Kila msichana darasani kwetu nikimtokea ananitolea nje na block juu afu chaajabu wale ninaowatongoza Kuna jamaa angu nakaa nae kila siku ananipiga exile anaingia nao gheto anawatafuna balaa.
Nimeamua Hili swala niliweke humu jamii forum ili mnisaidie kisaikolojia lakini pia mnisaidie tips za kuwatafuna hawa wanawake maana sielewi nina gundu gani ambayo haifai hata kugandisha gazeti.
Lakini kwa wanaume wenzangu nadhani mnajua kuwa Kuna mda tunahitaji kuosha rungu Sasa mimi shida yangu ni moja.
Kila msichana darasani kwetu nikimtokea ananitolea nje na block juu afu chaajabu wale ninaowatongoza Kuna jamaa angu nakaa nae kila siku ananipiga exile anaingia nao gheto anawatafuna balaa.
Nimeamua Hili swala niliweke humu jamii forum ili mnisaidie kisaikolojia lakini pia mnisaidie tips za kuwatafuna hawa wanawake maana sielewi nina gundu gani ambayo haifai hata kugandisha gazeti.