Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,198
- 6,416
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi mdudu kishatoka umeshapona,labda ulilala juu ya mikojo?mna mtoto mdogo mnalala nae?Hapana, alafu mwili unauma muda huu japo kidonda kinakauka.
Nakupa pole dada imekuwaje ukashtuka hivyo?? Hujawahi kukumbana naye huyu mdudu?? Je, una mtoto? Je, maisha yako ni matawi ya juu au ya kati?? Kama ni ya kati, ukiwa na watoto 3 hivi hili laweza kukupata au mtotoHadi mwili umesisimka.
Kama mdudu alitoka mzima bila kutumbulikia humo akaacha usaha wake na weye ukiwa na afya tele mbona unapona vizuri tu. Huyo funza haachi chochote ndani. Ni msafi sana ka alivyo mweupe.Asante sana daktari, bado sijasafisha. Nitapata shida gani?
Nimeshakujibu kwamba; Huna haja ya kuogopa chochote. Mwili wako una kinga tosha kabisa kujiponya. Huyo mdudu haachi chochote ndani yako kwa sababu huishi nawe kama part of yu. Kuosha huwa tunaosha kusiingie tatizo jingine kwani ni kama umepafunguaNaona kidonda kinaanza kukauka, nikakitumbue tena niioshe na hiyo iodine hospitalini?
Toba duuuPole sana ndugu kwa kuoza na kutoka mafunza kabla hujafa!!
Yaani umeoza ilhali ukiwa hai!!!!
Em panda boti banaa uje tenaa,.sasahivi nna iftar mah'susi na maridhawa kabisaaa🤓
Pole sana. Kuna nzi fulani wakubwa sana, wenye rangi ya kahawia. Hupenda kuruka kwa kelele sana yaani sauti kubwa tu. Akitua mahali saa hiyo hiyo hutaga kiwavi hai. Huyu kiwavi ni sharp sana kujichimbia chini ya ngozi haswa kama akikuta kuna ulowevu wa maji maji. Yaweza kuwa maji maji ya jasho, mkojo au nguo ambayo haijakauka vyema na kupigwa pasi...
Shemeji yuko humu kaona, ngojea aje ukwambie ukweliAliwahi kunitokea nikiwa f2 nilifanya siri baada ya kumchomoa kidonda kulipona ila kamebak kakovu.
Wife anauliza hili kovu la nn....namdanganya lilikuwa jipu...
Yeye Bize na fb na instaShemeji yuko humu kaona, ngojea aje ukwambie ukweli
NdiyoBasi mdudu kishatoka umeshapona,labda ulilala juu ya mikojo?mna mtoto mdogo mnalala nae?
Doctor umeniogopesha, Mhimbili kitengo kipi?Mimi kama Doctor ila si wa aina ya Mshana Jr nasema hivi, kuna dalili wewe unaingia chumvini. Moja ya side effects za kuingia chumvini ni hizi zako, wahi muhimbili kwa upasuaji kabla hao wadudu hawajamultiply na kukuota sehemu za haja kubwa.
Doctor umeniogopesha, Mhimbili kitengo kipi?Mimi kama Doctor ila si wa aina ya Mshana Jr nasema hivi, kuna dalili wewe unaingia chumvini. Moja ya side effects za kuingia chumvini ni hizi zako, wahi muhimbili kwa upasuaji kabla hao wadudu hawajamultiply na kukuota sehemu za haja kubwa.
Asante kwa ufafanuzi mzuriKama mdudu alitoka mzima bila kutumbulikia humo akaacha usaha wake na weye ukiwa na afya tele mbona unapona vizuri tu. Huyo funza haachi chochote ndani. Ni msafi sana ka alivyo mweupe. Ule unyevunyevu unaotokelezea nje ndiyo uchafu anaoutoa. Hana mavi kwa sababu anakutegemea weye kumlisha chembechembe bora zinazoulisha mwili wako. Hivyo kama mwili utoavyo jasho kama kuisafisha damu naye ndivyo kwa sababu hujiunganisha nawe kama sehemu ya mwili wako
Phenobarbitone huwa inatumika kupunguza maumivu ya mwili?Sawa,..kunywa basi phenobarbitone kupunguza maumivu ya mwili.
Nashukuru maumivu yamepunguaPhenobarbitone huwa inatumika kupunguza maumivu ya mwili?
Nashukuru maumivu yamepungua