Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,198
- 6,416
Halo JF Doctor.
Hivi karibuni kama juma moja limepita, nimetokewa na kipunye mgongoni na kadri siku zilivyoenda ilivimbisha eneo kubwa mgongoni na niliimwa sana Leo usiku.
Kutokana na maumivu makali nilimwambia laazizi wangu awashe taa aicheki Leo usiku. Baada ya kuangalia alisema kuna usaha na majimaji. Alikitumbua na kutokea mdudu mkubwa kama wale watokeao kwenye mizoga.
Doctor aliingiaje wakati Mimi ni msafi na kila wakati nimevaa nguo na mgongo haupo wazi?
Asante kama utanijibu maana tuna wasiwasi sana.
Hivi karibuni kama juma moja limepita, nimetokewa na kipunye mgongoni na kadri siku zilivyoenda ilivimbisha eneo kubwa mgongoni na niliimwa sana Leo usiku.
Kutokana na maumivu makali nilimwambia laazizi wangu awashe taa aicheki Leo usiku. Baada ya kuangalia alisema kuna usaha na majimaji. Alikitumbua na kutokea mdudu mkubwa kama wale watokeao kwenye mizoga.
Doctor aliingiaje wakati Mimi ni msafi na kila wakati nimevaa nguo na mgongo haupo wazi?
Asante kama utanijibu maana tuna wasiwasi sana.