Nimetokewa na uvimbe kichwani naomba msaada

2c2

Member
Nov 5, 2009
98
5
Kwanza nianze kwa kuwapongeza wana Jamii forum kwa michango yenu mnayoitoa katika mada mbalimbali humu jamvini kwani imekuwa msaada kwa Watanzania wengi sana Mungu aendelee kuwabariki na awape akili ya kujua zaidi mambo.

Naomba msaada kwenu madaktari na watu wenye utaalamu binafsi mlioupata kwa kujisomea au kusikia kutoka kwa watu katika suala hili.

Nimetokewa na kauvimbe kichwani kapo kama ngeu, mpaka sasa sijaweza kujua ni nini, nimeenda hospitali tatu tofauti mpaka sasa ila madaktari hawajatambua nini kimenitokea nikaona niwashirikishe ndugu zangu wakati najipanga kwenda kuwaona madaktari wa hosipitali kubwa za Dar es salaam au Arusha sababu uku kwetu mkoani hakuna Hospitali kubwa sana
 
Huo uvimbe uko sehemu gani ya kichwa? Unauma? Ni mgumu au laini? Ukiuchezesha unacheza? Pamebadilika rangi? Una muda gani? Ukubwa wake?
 
Huo uvimbe uko sehemu gani ya kichwa? Unauma? Ni mgumu au laini? Ukiuchezesha unacheza? Pamebadilika rangi? Una muda gani? Ukubwa wake?
mkuu hata mimi nina tatizo kama hilo uvimbe ni mdogo tu upo kichwani upande wa kushoto nywele zinako ishia, hauna maumivu yoyote, ni mlaini sio mgumu, unachezeka, rangi haijabadilika ipo ile ile ya ngozi asilia, una muda kama miezi 2 hivi.., ni mdogo tu. naomba msaada wako
 
Kwanza nianze kwa kuwapongeza wana Jamii forum kwa michango yenu mnayoitoa katika mada mbalimbali humu jamvini kwani imekuwa msaada kwa Watanzania wengi sana Mungu aendelee kuwabariki na awape akili ya kujua zaidi mambo.

Naomba msaada kwenu madaktari na watu wenye utaalamu binafsi mlioupata kwa kujisomea au kusikia kutoka kwa watu katika suala hili.

Nimetokewa na kauvimbe kichwani kapo kama ngeu, mpaka sasa sijaweza kujua ni nini, nimeenda hospitali tatu tofauti mpaka sasa ila madaktari hawajatambua nini kimenitokea nikaona niwashirikishe ndugu zangu wakati najipanga kwenda kuwaona madaktari wa hosipitali kubwa za Dar es salaam au Arusha sababu uku kwetu mkoani hakuna Hospitali kubwa sana

kama ungekuwa na picha tungeweza kusema ni nini? inaweza ikawa ni infection tu .. au inaweza ikawa ni kitu tunahitaji CT scan ....

i cant say ... mara nyingi when we see a mass we have to touch it and feel it if it is nodulated ... or ... if it is movable... or kama ipo intact bellow skin ... etcl
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom