SAYANSIKIMU
JF-Expert Member
- Feb 27, 2014
- 1,132
- 260
Ewe ------- uvumilivu umenisha nimeamua kukuambia wazi kabisa ya kwamba ninakupenda.Muda mwingi nimekuwa nakufuatilia nakufanya mambo mbalimbali ili uniweke moyoni mwako lakini sijafanikiwa .Na sasa hivi nimekuwa kero kwako hutaki kabisa kuongea na mimi.Mrembo--------ina maana wewe unachukia kupendwa? Kwa nini unanifanyia hivi? mbona unanifanyia mbona mwanzoni tulikuwa tunazungumza vizuri tu kwa kipindi hiki unanifanyia hivi sio vizuri hivyo mimi nakupenda ,nakufuatilia ,nakufikiria lakini nakushangaa mwenzangu kama vile huna mpango na mimi kuwa na huruma basi nifikiriefikirie basi ewe mrembo----- kama mimi navyo kufikiria hakika mimi nakupenda naomba na wewe unipende kama kunasehemu nilikuuzi nisamehe kwa kweli ------ nakupenda sana.Nimesita hata kukutaja nisije nikazidi kukuuzi zaidi ukani report abuse nikapigwa banned .LAKINI NAAMINI UJUMBE WANGU UTAKUWA UMEUPATA .naomba tusameheane na tuuboreshe uhusiano wetu.Nakutakia jioni njema-------