Nimetoka uwanja wa Samora, Diamond kaacha gumzo

mtanzalendo

Member
Aug 29, 2014
74
121
Ndio nimetoka uwanja wa Samora. Show imeisha saa kumi. Kilichotokea leo sidhani kama imewai tokea hivi Iringa ni zaidi ya Fiesta.

Diamond kaua isivyo kawaida watu walikuwa wengi hakuna pa kukanyaga. Show imepigwa na live band kila kitu unasikia original kama imewekwa cd. Watu wamecheza wameimba ni furaha tu uwanjani.

Muda huu nazungumza iringa mjini ni kama mchana kila kona imejaa watu mapikipiki, matax, madaladala na bado watu hawajaweza kutosha wengi wanarudi home kwa kutembea maana usafiri hakuna.

Dah hii ni history, ni kwamba akisema arudie show ata kesho watu wanaeeza jaa marambili yake watu wamefirahi mno shangwe mpaka raha.

Nashukuru nimefika home Ilala salama.

God bless wasanii wetu
 
Shukrani kwa kutuhabarisha. Mbingu za muziki zimemfungukia DP aendelee hivi asiwe na majivuno, asidharau watu hata wale ambao ni wanajaribu kumdharau na kumuharibia reputation na credibility akiweza kuyafanya haya basi atapata mafanikio makubwa sana Tanzania, Afrika na Dunia nzima.





Ndio nimetoka uwanja wa Samora. Show imeisha saa kumi. Kilichotokea leo sidhani kama imewai tokea hivi Iringa ni zaidi ya Fiesta.

Diamond kaua isivyo kawaida watu walikuwa wengi hakuna pa kukanyaga. Show imepigwa na live band kila kitu unasikia original kama imewekwa cd. Watu wamecheza wameimba ni furaha tu uwanjani.

Muda huu nazungumza iringa mjini ni kama mchana kila kona imejaa watu mapikipiki, matax, madaladala na bado watu hawajaweza kutosha wengi wanarudi home kwa kutembea maana usafiri hakuna.

Dah hii ni history, ni kwamba akisema arudie show ata kesho watu wanaeeza jaa marambili yake watu wamefirahi mno shangwe mpaka raha.

Nashukuru nimefika home Ilala salama.

God bless wasanii wetu
 
Huyo ndio DIAMOND anaonyesha ukubwa wa muziki wake kwa KUINGIZA PESA,SIO KWA MANENO, eti oooh sisi "timu muziki mzuri" uzuri wa muziki wako umedhibitishwa na nani ......... Nenda kapige shoo tuone nyomi la watu wanavyoingia ndio tutajua kweli muziki wako mzuri. MOND DAR KAFANYA 30,000 KWA 100,000 na IRINGA 10,000. weka yako kama hiyo tuone.
 
Huyo ndio DIAMOND anaonyesha ukubwa wa muziki wake kwa KUINGIZA PESA,SIO KWA MANENO, eti oooh sisi "timu muziki mzuri" uzuri wa muziki wako umedhibitishwa na nani ......... Nenda kapige shoo tuone nyomi la watu wanavyoingia ndio tutajua kweli muziki wako mzuri. MOND DAR KAFANYA 30,000 KWA 100,000 na IRINGA 10,000. weka yako kama hiyo tuone.
Mbona kama unaongea na mtu ..ni nani ...yan kama unajibizana na mtu ama nitumie lugha kua unamtambishia mtu ambae hajulikani kwaio kwa hii thread ningetegemea tu pongezi kwake dogo lakin mnatambishia wengine sjui kwa sbabu gan
pongez inatosha tu
 
Back
Top Bottom