Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,699
- 9,778
Ili nalo mkaliangalie,
Baada ya kumaliza karaoke yangu mida ya saa nne, nimekabidhi mic na kushuka jukwaani, ndipo kupiga bia moja tayari kwa safari ya kurejea nyumbani.
Nikiwa njiani karibu na mitaa ya wale dada zetu (ndiyo njia ya kuelekea nyumbani inapopitia) nikamuona binti mdogo mdogo, umri wa form three form four. Kwa mitego aliyoionesha pombe yote imeniruka kichwani, nikajikuta misuli ya mkuyenge inauumiza vibaya mkuyenge wangu.
Huyu binti mweupe, mwenye mtrako wa aina yake na kasura ka kifilipino na mywele zilizochambuka, alivaa kibode cheupe chepesi pamoja na mtandio aliojifunga huku ukionesha vyema mema yaliyomo ndani hasa pindi alipopita kwenye mwanga. Kwa makusudi aliunyanyua ule mtandio kujifutia usoni, ndipo kila kitu kilibaki asalalee!
Ndipo nilipogeuza gia na kumfuatilia nyuma nyuma mpaka mahali penye giza giza ili nitest zari! Baada ya kumuita kama mara tatu bila ya kujibiwa niliamua kumshika mkono, ndipo niliposkia maneno makali kuwahi kutamkiwa yakimfyatuka binti tena hadharani, "we mshenzi, akili yako iko sawa kweli, unanishika unanifahamu, ......... ww".
Ni aibu ya namna yake niliyoipata huku nikisindikizwa na mwanga wa bodaboda kadhaa zilizokuwepo pale huku madereva wake wakiukolezea mwanga ule kwa miluzi ya kila rangi.
Leo nimeingia cha kike, ngoja nilale, ntayajua kesho! Lakini na hili mkalitizame.
Baada ya kumaliza karaoke yangu mida ya saa nne, nimekabidhi mic na kushuka jukwaani, ndipo kupiga bia moja tayari kwa safari ya kurejea nyumbani.
Nikiwa njiani karibu na mitaa ya wale dada zetu (ndiyo njia ya kuelekea nyumbani inapopitia) nikamuona binti mdogo mdogo, umri wa form three form four. Kwa mitego aliyoionesha pombe yote imeniruka kichwani, nikajikuta misuli ya mkuyenge inauumiza vibaya mkuyenge wangu.
Huyu binti mweupe, mwenye mtrako wa aina yake na kasura ka kifilipino na mywele zilizochambuka, alivaa kibode cheupe chepesi pamoja na mtandio aliojifunga huku ukionesha vyema mema yaliyomo ndani hasa pindi alipopita kwenye mwanga. Kwa makusudi aliunyanyua ule mtandio kujifutia usoni, ndipo kila kitu kilibaki asalalee!
Ndipo nilipogeuza gia na kumfuatilia nyuma nyuma mpaka mahali penye giza giza ili nitest zari! Baada ya kumuita kama mara tatu bila ya kujibiwa niliamua kumshika mkono, ndipo niliposkia maneno makali kuwahi kutamkiwa yakimfyatuka binti tena hadharani, "we mshenzi, akili yako iko sawa kweli, unanishika unanifahamu, ......... ww".
Ni aibu ya namna yake niliyoipata huku nikisindikizwa na mwanga wa bodaboda kadhaa zilizokuwepo pale huku madereva wake wakiukolezea mwanga ule kwa miluzi ya kila rangi.
Leo nimeingia cha kike, ngoja nilale, ntayajua kesho! Lakini na hili mkalitizame.