Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,947
- 22,096
Ndugu wapendwa,
Jumamosi iliopita saa saba na nusu mchana kwa walio Tanki bovu kule chini jiran na Mh Mboma wanakumbuka kilitochotokea
nikiwa na mama Didy nje tunapata juice ya origin kutoka kwa bibie huyo, akapita kijana mmoja ameshika baibo na kitambaa cha kupangusa majasho huku anaubiri.
Alipofika nilikuwa interested nae maana alikwenda kwa mzee mmoja jiran yangu kumsilamu akaanza kuhubiri yule baba akaanza kumtukana akamwambia nitakukata mapanga hapa kwangu toka nakwambia yule bwana akarudi mpakani kwangu na kwa huyo mzee akaendeleea kuhubiri, akasema ametoka Tandik, hajui amefikaje lakini ametumwa kwenye hiyo nyumba huu ndio wakati muafaka muamue moja leo hii kumpokea Yesu kama bwana na mwokozi wa maisha yenu.
Yule baba akaendelea kumfwata yule kijana akaingia kwangu akiendelea kuhubiri akamtuma mtoto aje kwangu nimfukuze, nikamjibu hao ni masihi wa Mungu siwajui naweza kumfuka Yesu.
Yule bwana akuacha kulia jamani na kusema amewiwa kuomba wenye nyumba hii wampokee Yesu hawajui na hawamjui ..ila mwishoni nakumbuka akasema nikiwa kama mtumishi namasihi wa Mungu naomba niweke wazi nimenawa na ujumbe niliotumwa nimewaachia, mkipenda ufanyieni kazi.
Alintoa machozi nikaomba ale kwangu akakataa kabisa akasema ameonyeshwa huu mtaa anahitaji kuzunguka huku anahubiri, nikampa maji akanywa akaondoka na chupa nikampa alfu kumi, akasema hapana nikamwomba basi chukua hata alfu tano akakataa nikamwambia ubarikiwe mungu azidi kukutia nguvu.
Ndugu zanguni naelekea nyumban muda huu niko hapa plaza nimepigiwa na wife yule mzee amefariki muda si mrefu kisukari kimepanda gafla
Ndugu yangu pengine haitakujia nafasi kama hii kwako itakuja kwa njia nyingine, mwombe Mungu akusaidie kuuchukua ujumbe na kuufanyia kazi yule kijana ajui wala atambui kilichoteka leo mchana wanamzika jion hii; Mungu wa rehema awape rehema na uvumilivu wafiwa
Bwana ametoa .......ametwaaaaaaaaaa
Jumamosi iliopita saa saba na nusu mchana kwa walio Tanki bovu kule chini jiran na Mh Mboma wanakumbuka kilitochotokea
nikiwa na mama Didy nje tunapata juice ya origin kutoka kwa bibie huyo, akapita kijana mmoja ameshika baibo na kitambaa cha kupangusa majasho huku anaubiri.
Alipofika nilikuwa interested nae maana alikwenda kwa mzee mmoja jiran yangu kumsilamu akaanza kuhubiri yule baba akaanza kumtukana akamwambia nitakukata mapanga hapa kwangu toka nakwambia yule bwana akarudi mpakani kwangu na kwa huyo mzee akaendeleea kuhubiri, akasema ametoka Tandik, hajui amefikaje lakini ametumwa kwenye hiyo nyumba huu ndio wakati muafaka muamue moja leo hii kumpokea Yesu kama bwana na mwokozi wa maisha yenu.
Yule baba akaendelea kumfwata yule kijana akaingia kwangu akiendelea kuhubiri akamtuma mtoto aje kwangu nimfukuze, nikamjibu hao ni masihi wa Mungu siwajui naweza kumfuka Yesu.
Yule bwana akuacha kulia jamani na kusema amewiwa kuomba wenye nyumba hii wampokee Yesu hawajui na hawamjui ..ila mwishoni nakumbuka akasema nikiwa kama mtumishi namasihi wa Mungu naomba niweke wazi nimenawa na ujumbe niliotumwa nimewaachia, mkipenda ufanyieni kazi.
Alintoa machozi nikaomba ale kwangu akakataa kabisa akasema ameonyeshwa huu mtaa anahitaji kuzunguka huku anahubiri, nikampa maji akanywa akaondoka na chupa nikampa alfu kumi, akasema hapana nikamwomba basi chukua hata alfu tano akakataa nikamwambia ubarikiwe mungu azidi kukutia nguvu.
Ndugu zanguni naelekea nyumban muda huu niko hapa plaza nimepigiwa na wife yule mzee amefariki muda si mrefu kisukari kimepanda gafla
Ndugu yangu pengine haitakujia nafasi kama hii kwako itakuja kwa njia nyingine, mwombe Mungu akusaidie kuuchukua ujumbe na kuufanyia kazi yule kijana ajui wala atambui kilichoteka leo mchana wanamzika jion hii; Mungu wa rehema awape rehema na uvumilivu wafiwa
Bwana ametoa .......ametwaaaaaaaaaa