cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,766
- 73,433
Ni uamuzi mgumu ila imenibidi niamue kufanya haya kwa sababu namshukuru Mungu kuwa nipo hai leo hii na kuweza kuandika haya humu kwenye jukwaa hili la Jamii Forums aka Jambo Forums( enzi hizo)
Basi nawaomba msherekee nami leo as jana tarehe 6 nimetimiza miaka 10 kama memba na 11 hivi kama msomaji.
Ukitaka kunipa zawadi tafadhali wapelekee watoto yatima na wazee uwasaidie wao na mimi nitafurahia. Ukikazania unataka kunipa mimi basi itabidi niwe hamisa kidogo utoe kuanzia 5m.. ha ha haaaaaa..
Najua mnanipenda sana wengi wenu humu. Karibuni hapa ninapoishi mji wa RC mpendwa tusafishe mazingira ya maeneo ninayoishi au safisha huko kwako ulipo. Baadae kupunga upepo Coco Beach..
Uamuzi ulikuwa mgumu kweli mimi kuandika haya kwenu... ha ha haaaaa eeeeeeh
Wakumbuke Wazee na Watoto yatima. Miaka '10' ya Cocochanel.. Jamii Forums izidi kubarikiwa.. bado nafikiria cha kujibadili humu.. kuwa verified hiyo big NO.. Mods naomba mnikumbushe jinsi ya kuchangia humu nijiongeze kwenye umemba wangu.
..lazima nimalizie hivi
Makonda oyeeeeeee
Basi nawaomba msherekee nami leo as jana tarehe 6 nimetimiza miaka 10 kama memba na 11 hivi kama msomaji.
Ukitaka kunipa zawadi tafadhali wapelekee watoto yatima na wazee uwasaidie wao na mimi nitafurahia. Ukikazania unataka kunipa mimi basi itabidi niwe hamisa kidogo utoe kuanzia 5m.. ha ha haaaaaa..
Najua mnanipenda sana wengi wenu humu. Karibuni hapa ninapoishi mji wa RC mpendwa tusafishe mazingira ya maeneo ninayoishi au safisha huko kwako ulipo. Baadae kupunga upepo Coco Beach..
Uamuzi ulikuwa mgumu kweli mimi kuandika haya kwenu... ha ha haaaaa eeeeeeh
Wakumbuke Wazee na Watoto yatima. Miaka '10' ya Cocochanel.. Jamii Forums izidi kubarikiwa.. bado nafikiria cha kujibadili humu.. kuwa verified hiyo big NO.. Mods naomba mnikumbushe jinsi ya kuchangia humu nijiongeze kwenye umemba wangu.
..lazima nimalizie hivi
Makonda oyeeeeeee