Mhujumu Uchumi
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,575
- 3,515
Mwenyezi Mungu na waungwana, shetani na wahuni.Naam nishafika viunga vya ofisi kuu chadema znz.
Nimeambiwa mchakato rasmi wa chama wanafungwa Leo. Hata hivyo mchakato huu ni wa ndani ya chama tu. Hivyo milango iko wazi kwa kundi lolote la jamii linaloamini linanyimwa haki kwa sababu ya muonekano wao au kwa sababu ya kabila yao, au kwa sababu ya rangi zao na wanahiso wana kura ya turufu, na wanahitaji maslahi yao yasikizwe. CHADEMA iko tayari kuwapokea na kuungana nao kwa nia ya kuondoa uovu uliopo.
Akubariki yeye aliye juu ya vyote! Una support yetu wapenda haki wote wa Tanzania