Pierre2017
Member
- Apr 16, 2019
- 48
- 28
Unarefer kwa predicter gan kabla ya kubet!?
unakuwa unasubiria dakika za 90+
hahaha mkuu pressure yake si ya kitoto situliagi hazizidi dakika 8 tu ila usiombe itokeeeHizi dakika za 90+ kama umebet under 2.5 halaf wana 1:1 huwa ni muda unaoweza kupata pressure ya muda
ni kampuni gani hiyo unayoweza kuweka stake ya 10m
1xbet mm najua ni 5mParimatch, 1x Bet zipo nyingi tu we ukiipata hiyo 10M ni pm
Kumbe na wewe unabetRaha ya kubet uweke mzigo wa maana,maana payback yake ni kubwa ukitusua.Hongera kwa kubahatika kukusanya hicho kiasi maana wengine tumechezea vipigo hadi tumestaafu
Pole Sana Mkuu,
Kanji kama mchawi vile, unaweka timu mmoja unavutiwa kuongeza ingine, na ingine, na ingine, mwishowe unajikuta na behewa la ajabu.
[/QUO
h
mkuu hajielewii huyoo ..yani kwa mentality yake hata nikikuta kakabwa na chatu mi nashangilia chatu aendelee kumkaba tu
Umesema Kweli tupu! Parimatch kunabjamaa yangu alibetia mechi kwa milion 7 single bet.Parimatch, 1x Bet zipo nyingi tu we ukiipata hiyo 10M ni pm
Njia ya kudeposit na kuwithdraw 1xbet ni ipi?Parimatch, 1x Bet zipo nyingi tu we ukiipata hiyo 10M ni pm
Mkuu embu tuume sikioMimi nilienda nikafika 1.7M kwa mtaji wa laki...nikaingia tamaa yaliyonikuta siri yangu
Hhaaahahaaaaa broh umetisha hadi mwaka wa fedha kama upo serikaliniMkuu mimi nimekuwa sipitishi wiki sijala, lakini mtaji wangu ni elfu kumi, na ikishuka chini ya hapo sijisikii kabisa kugusa betting app yoyote.
Ngoja niandae mkakati wa mwaka wa fedha 2019/2020.
Kaka mnaniacha hoi kinomaaaaaaaWewe ndio askari wa kwenda nae vitani!
Jamani naombeni formular nzuri ya kubet je siku nzuri kubet ni ipi kati ya weekend au siku za kawaida
Tatizo sio siku wala muda gani mechi inachezwa
Siku hizi napiga hela kwa corner 4 tu zenye odds 1.8 juzi nimepiga laki 7.Mimi naamini betting ni biashara nzuri ukitumia akili
Siku hizi napiga hela kwa corner 4 tu zenye odds 1.8 juzi nimepiga laki 7.
Magoli ni pasua kichwa ... Corner ni safe saana mkuu. Nimeshabet corner mara 9 mfululizo nimekula mara 7 nimeliwa mara 2. Mechi ya Man city alishatoaga corner 10 first half pekee afu mimi nlitaka corner 4 tu.. Asee!Hata kona zinalipa sana
Magoli mmmmh