BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,215
- 39,040
- Thread starter
- #21
Hongera mkuu.
Hongera mkuu.
Ukiwa na shida ni lazima uwe mpole
na hapa ndo Kuna balaa kubwanaona unajitekenya....
kuna wanawake hawaombi pesa coz anakua kakupenda kwel ila kuna watu wanamla coz anawachuna, hivo nakupa pole sana
Aisee upande wenu vipi mnastahili kuaminiwa?Usimuamini mwanamke hata kwa kumtania..
Me nimeshukuru tu mkuu kwamba at least kuna siredi ya kumsifia mwanamke humu ndani leo..
Mbarikiwe sana!
Me nimeshukuru tu mkuu kwamba at least kuna siredi ya kumsifia mwanamke humu ndani leo..
Mbarikiwe sana!
Hongera mkuu
Beeh'..SweetieLee
😂 😂Amina sana, ulienda church lkn
Pongezi lako tumelipokea kwa mikono miwili niseme tu tutajitahidi kuwasifia na kueleza mazuri yenu nikiwa kamaMe nimeshukuru tu mkuu kwamba at least kuna siredi ya kumsifia mwanamke humu ndani leo..
Mbarikiwe sana!
😂 😂Pongezi lako tumelipokea kwa mikono miwili niseme tu tutajitahidi kuwasifia na kueleza mazuri yenu nikiwa kama
Mwenyekiti wa bodii
Kwa kwetu angalau uaminifu upo..Aisee upande wenu vipi mnastahili kuaminiwa?
Hilo tutazungumza mkuu!!
Ni mapema mno kutembea kifua mbele saivi,subiri utatupa mrejesho baada ya mwaka mmoja wa mahusiano yenu kutimia,sawa bana mdogo?