displayname
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,950
- 1,039
tupa picha ya beki 3 ndio tushauri cha kufanya!!!!!
Foward ikipanda beki tatu haichezi mbali na 18 inakaba mashambuliz ya kushtukiza( counter attack).inatakiwa kampen mahususi kuelimisha wake zenuBaki3 katekeleza wajibu wake yupo hapo kusaidia kazi za ndani kuhakikisha familiar haipungukiwi yeye anaziba sioni kosa lake kosa la mke ni kushindwa kutambua majukumu ya beki 3 aelimishwe kuwa hilo ni mojawapo anapokuwa safari