Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,036
- 71,263
Silewi wala sijawah kugusa chupa ya pombe ,nazaidi sivuti .Mm ndo maana mwanaume mlevi simpendi kabisaa, maana akili yake ipo kwenye chupa.
Vipi nmekidh unaweza kunipenda.
Silewi wala sijawah kugusa chupa ya pombe ,nazaidi sivuti .Mm ndo maana mwanaume mlevi simpendi kabisaa, maana akili yake ipo kwenye chupa.
Naona ulikuwa unakamilisha maandiko ya nabii Tito.Habari zenu ndugu zangu,
Nimekua nikipata misusuko kwenye mahusiano na mke wangu huyu hii imekua too much, mke wangu alifiwa na baba yake tukaenda msibani, nyumba tukamwachia dada wa kazi, baada ya mazishi mimi nikarudi nyumbani, tumekaa siku tatu siku ya nne nikashindwa uvumilivu kama ile nyimbo ya Keisha nilirudi usiku nikiwa nishapiga tungi kidogo.
Basi usiku huo kulikua na mvua nikashindwa kabisa kulala nikamfata chumbani kwake alikokua kalala na mwanangu mkubwa wa miaka 5 nikamshtua nikamwambia njoo chumbani akaja baada ya dk 5 kilichoendelea sijui.
Sasa huyu mpuuzi kesho yake akaanza kiburi anamjibu mke wangu vibaya kwenye simu mara amwambie sitaki kazi za ndani tena baada ya mke wangu kurejea amembananisha mpaka kasema nimekula mzigo.
Toka juzi mke wangu hali yake imebadilika presha ilipanda, nikabeba kupeleka hosptali najuta mimi kwa upuuzi niliofanya.
Pole sanaHabari zenu ndugu zangu,
Nimekua nikipata misusuko kwenye mahusiano na mke wangu huyu hii imekua too much, mke wangu alifiwa na baba yake tukaenda msibani, nyumba tukamwachia dada wa kazi, baada ya mazishi mimi nikarudi nyumbani, tumekaa siku tatu siku ya nne nikashindwa uvumilivu kama ile nyimbo ya Keisha nilirudi usiku nikiwa nishapiga tungi kidogo.
Basi usiku huo kulikua na mvua nikashindwa kabisa kulala nikamfata chumbani kwake alikokua kalala na mwanangu mkubwa wa miaka 5 nikamshtua nikamwambia njoo chumbani akaja baada ya dk 5 kilichoendelea sijui.
Sasa huyu mpuuzi kesho yake akaanza kiburi anamjibu mke wangu vibaya kwenye simu mara amwambie sitaki kazi za ndani tena baada ya mke wangu kurejea amembananisha mpaka kasema nimekula mzigo.
Toka juzi mke wangu hali yake imebadilika presha ilipanda, nikabeba kupeleka hosptali najuta mimi kwa upuuzi niliofanya.
Ashaondoka kitambo uko alipo ndo anajibizana na wife mpaka anampandisha preshaDuh! Timua kabisa huyo beki 3 ambaye hajui kula na kipofu.
Habari zenu ndugu zangu,
Nimekua nikipata misusuko kwenye mahusiano na mke wangu huyu hii imekua too much, mke wangu alifiwa na baba yake tukaenda msibani, nyumba tukamwachia dada wa kazi, baada ya mazishi mimi nikarudi nyumbani, tumekaa siku tatu siku ya nne nikashindwa uvumilivu kama ile nyimbo ya Keisha nilirudi usiku nikiwa nishapiga tungi kidogo.
Basi usiku huo kulikua na mvua nikashindwa kabisa kulala nikamfata chumbani kwake alikokua kalala na mwanangu mkubwa wa miaka 5 nikamshtua nikamwambia njoo chumbani akaja baada ya dk 5 kilichoendelea sijui.
Sasa huyu mpuuzi kesho yake akaanza kiburi anamjibu mke wangu vibaya kwenye simu mara amwambie sitaki kazi za ndani tena baada ya mke wangu kurejea amembananisha mpaka kasema nimekula mzigo.
Toka juzi mke wangu hali yake imebadilika presha ilipanda, nikabeba kupeleka hosptali najuta mimi kwa upuuzi niliofanya.
Kweli kabisaa yule zitakua hazimoWenzio tunaangalia
wakugonga wengine hua hazmo
Kama huyo bk 3 wako
Hamnazo kabsa na ww
Unaenda kugonga haya
Kavune ulichopanda
Mlimalizana je hapa?Kweli kabisaa yule zitakua hazimo
Huyo hamnazo kabsaKweli kabisaa yule zitakua hazimo
Nimekwambia huu mwaka ndoa ikivuka salama sjui lakini nililimaliza kiume japo niliumia sana lakini hata kumfata beki 3 kuna kitu kilikua kinambia kama yy alitembea na bodaboda ngoja nilipize kwa beki 3 nilichogundua kumbe yy anaumia zaidi yanguKwani hili liliishaje?
Nimekuta meseji za mapenzi za dereva bodaboda kwenye simu ya mke wangu
Good! Mwana kuli-find mwana kuli-get, good with your lovely trouble 😂Habari zenu ndugu zangu,
Nimekua nikipata misusuko kwenye mahusiano na mke wangu huyu hii imekua too much, mke wangu alifiwa na baba yake tukaenda msibani, nyumba tukamwachia dada wa kazi, baada ya mazishi mimi nikarudi nyumbani, tumekaa siku tatu siku ya nne nikashindwa uvumilivu kama ile nyimbo ya Keisha nilirudi usiku nikiwa nishapiga tungi kidogo.
Basi usiku huo kulikua na mvua nikashindwa kabisa kulala nikamfata chumbani kwake alikokua kalala na mwanangu mkubwa wa miaka 5 nikamshtua nikamwambia njoo chumbani akaja baada ya dk 5 kilichoendelea sijui.
Sasa huyu mpuuzi kesho yake akaanza kiburi anamjibu mke wangu vibaya kwenye simu mara amwambie sitaki kazi za ndani tena baada ya mke wangu kurejea amembananisha mpaka kasema nimekula mzigo.
Toka juzi mke wangu hali yake imebadilika presha ilipanda, nikabeba kupeleka hosptali najuta mimi kwa upuuzi niliofanya.
Acha kabisa man,cjui wanakuagaje wale watotiMabek3 huwa watam