Nimetembea na GF wa rafiki yangu

TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

JF-Expert Member
Dec 1, 2010
5,661
9,981
Nina rafiki yangu ambaye tuko naye tangu ljumaa tukata ulabu maeneo ya Boko.
Usiku wa kuamkia Jumapili alikuwa na ugomvi mkubwa na demu wake.
Jamaa akampiga sana mwanamke, hayo yalikuwa yakitokea nyumbani kwa huyo binti.

Binti akanipigia simu, nikaenda nikamkuta binti kavimba jicho na sura nzima, analia.
Nikakaa na kumbembeleza, nika msponji kisha nikampeleka hospitali.
Tukarudi nyumbani na nikaendelea kumsaidia baadhi ya kazi.

Nilipotaka kuondoka ndio akanishukuru kisha akaniambia let me kiss u good bye. Busu lilikuwa la mdomoni, refu na tamu ile mbaya, si ndio tukajikuta tumepitiliza hadi kwenye utupu. Kucheki pembeni kuna kibox cha KAMASUTRA condoms.

Nikamega bwana bila kuvunga, leo naandaa kikao cha usuluhishi kisha mi natambaa zangu.
 
Nina rafiki yangu ambaye tuko naye tangu ljumaa tukata ulabu maeneo ya Boko.
Usiku wa kuamkia Jumapili alikuwa na ugomvi mkubwa na demu wake.
Jamaa akampiga sana mwanamke, hayo yalikuwa yakitokea nyumbani kwa huyo binti.
Binti akanaipigia simu, nikaenda nikamkuta binti kazimba jicho na sura nzima, analia.
Nikakaa na mumbembeleza, nika msponji kisha nikampeleka hospitali.
Tukarudi nyumbani na nikaendelea kumsaidia baadhi ya kazi.
Nlipotaka kuondoka ndio akanishukuru kisha akaniambia let me kiss u good bye.Busu lilikuwa la mdomoni, refu na tamu ile mbaya, si ndio tukajikuta tumepitiliza hadi kwenye utupu. Kucheki pembeni kuna kibox cha KAMASUTRA condoms.
Nikamega bwana bila kuvunga, leo naandaa kikao cha usuluhishi kisha mi natambaa zangu

 
Nina rafiki yangu ambaye tuko naye tangu ljumaa tukata ulabu maeneo ya Boko.
Usiku wa kuamkia Jumapili alikuwa na ugomvi mkubwa na demu wake.
Jamaa akampiga sana mwanamke, hayo yalikuwa yakitokea nyumbani kwa huyo binti.
Binti akanaipigia simu, nikaenda nikamkuta binti kazimba jicho na sura nzima, analia.
Nikakaa na mumbembeleza, nika msponji kisha nikampeleka hospitali.
Tukarudi nyumbani na nikaendelea kumsaidia baadhi ya kazi.
Nlipotaka kuondoka ndio akanishukuru kisha akaniambia let me kiss u good bye.Busu lilikuwa la mdomoni, refu na tamu ile mbaya, si ndio tukajikuta tumepitiliza hadi kwenye utupu. Kucheki pembeni kuna kibox cha KAMASUTRA condoms.
Nikamega bwana bila kuvunga, leo naandaa kikao cha usuluhishi kisha mi natambaa zangu

Ndugu yangu jambo ulilolifanya sio sahihi kabisa hasa kwa rafiki yako. Wewe sio rafiki wa kweli. Lingine mshauri jamaa yako kuwa yuko na changudoa aachane naye mara moja la sivyo kaburi linanyatia.
 
Umalaya tu ndio unaokusumbua

Ni Zaidi ya Umalaya ni USALITI, Kama mimi ndiyo huyo msela wako ( Naamini yuko hapa JF na kwa namna ulivyoelezea mazingira kashakufahamu) adhabu yako ni kukugonga na Gari tu
 
huna tofauti na MBWA, utakuja kugonga hadi mke wa kaka ako au mdogo ako...

na uyo aliyekugongea senks, nahisi mnafanana akili
 
Humphnicky
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
user-online.png
Senior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join DateWed Dec 2010Posts119Thanks10Thanked 37 Times in 10 Posts Rep Power21
 
Nina rafiki yangu ambaye tuko naye tangu ljumaa tukata ulabu maeneo ya Boko.
Usiku wa kuamkia Jumapili alikuwa na ugomvi mkubwa na demu wake.
Jamaa akampiga sana mwanamke, hayo yalikuwa yakitokea nyumbani kwa huyo binti.
Binti akanaipigia simu, nikaenda nikamkuta binti kazimba jicho na sura nzima, analia.
Nikakaa na mumbembeleza, nika msponji kisha nikampeleka hospitali.
Tukarudi nyumbani na nikaendelea kumsaidia baadhi ya kazi.
Nlipotaka kuondoka ndio akanishukuru kisha akaniambia let me kiss u good bye.Busu lilikuwa la mdomoni, refu na tamu ile mbaya, si ndio tukajikuta tumepitiliza hadi kwenye utupu. Kucheki pembeni kuna kibox cha KAMASUTRA condoms.
Nikamega bwana bila kuvunga, leo naandaa kikao cha usuluhishi kisha mi natambaa zangu
Wewe ni mwongo mkubwa hukutumia condomu nakujua ukizingatia mazingira uliyopewa busu nafasi hukuwa nayo!!!
 
Nina rafiki yangu ambaye tuko naye tangu ljumaa tukata ulabu maeneo ya Boko.
Usiku wa kuamkia Jumapili alikuwa na ugomvi mkubwa na demu wake.
Jamaa akampiga sana mwanamke, hayo yalikuwa yakitokea nyumbani kwa huyo binti.
Binti akanaipigia simu, nikaenda nikamkuta binti kazimba jicho na sura nzima, analia.
Nikakaa na mumbembeleza, nika msponji kisha nikampeleka hospitali.
Tukarudi nyumbani na nikaendelea kumsaidia baadhi ya kazi.
Nlipotaka kuondoka ndio akanishukuru kisha akaniambia let me kiss u good bye.Busu lilikuwa la mdomoni, refu na tamu ile mbaya, si ndio tukajikuta tumepitiliza hadi kwenye utupu. Kucheki pembeni kuna kibox cha KAMASUTRA condoms.
Nikamega bwana bila kuvunga, leo naandaa kikao cha usuluhishi kisha mi natambaa zangu

Hivi hapa dogo unataka tukushauri nini hasa?
Nawasilisha!!!!
 
Una uhakika kuwa demu ni changudoa?

Alichokifanya hakinatofauti na uchangu doa. Maana alijua fika wewe ni rafiki ya mpenzi wake na ndiye aliyeanza kukuvuta kwenye huo mtego na ukaingia, inaonyesha ni mzoefu. Ungesema wewe ndiye uliyeanza kufanya hayo nisingemlaumu na kumwita changudoa.
 
Ila kumkatalia demu hasa ambaye anahitaji kuonyeshwa upendo kwa kipindi husika ni kazi.......
 
Umalaya tu ndio unaokusumbua

Unaweza kuuita umalaya, lakini wengine wanaweza kusema ni ujinga na ushamba, na wengine wanaweza kusema uanaume. Kuna watu huwa wanaona sifa na ujanja kutembea na msururu wa wanawake. Wengine uanaume wao uko kwenye kutembea na wanawake wengi, kwa hiyo usimwite malaya, ni vizuri ukimpongeza.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom