Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,587
- 1,136
- Thread starter
- #21
Mkuu Nina panic disorderDuh hebu tulia uandike vizuri
Mkuu Nina panic disorderDuh hebu tulia uandike vizuri
Kunywa safari lagerAisee msaada wako ndugu yangu
Nimetapeliwa Simu kwenye box nilikua nanunua kumbe ni mobitel
Sio dukani mkuu na nilikua nawahi bas mtu mwenyewe Alieniunganisha hapatikani saivKwanini hukuifungua uweke laini alafu uwashe? Rudi kwenye duka ulilonunua ukiwa na risiti yake... Kama umenunua uchochoroni andika maumivu
poleee sanaKaka ni wenge tu la kuibiwa
Shukran Sanapoleee sana
Sio dukani mkuu na nilikua nawahi bas mtu mwenyewe Alieniunganisha hapatikani saiv
AiseeHiyo samehe na usahau... Kwa kifupi hiyo ni ada ya tuition umelipishwa baada ya kukaa mjini kwa masiku kadhaa.
Mjini shule! Kama hujalipa ada leo, utalipa kesho
UmeharishaMwandiko umefanyaje?
SawaUmeharisha
😂😂😂Jina lako mzee wa kusawazisha , haya Sasa dakika ndio hizi usawazishe
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Hii bangi itaimaliza vijanaAisee nilikua nawahi basi Simu kwenye box Ina ad kava la Huawei,, nisaidieni Wana jf nafika home nakuta sivyo ndivyo,, nisaidieni hata elf 10 niongezee nipate hata ya elf 18 nijifutie machozi
Aisee nilikua nawahi basi Simu kwenye box Ina ad kava la Huawei,, nisaidieni Wana jf nafika home nakuta sivyo ndivyo,, nisaidieni hata elf 10 niongezee nipate hata ya elf 18 nijifutie machozi