MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,345
- 11,227
Forex ni biashara kama biashara nyingine. Ila kuna watu wanaitumia kuibia watu wasio na subira.Na forex is not an easy thing down on earth kuna watu they are trading mwaka wa 2 hawajawahi pata profit lakin ukijipa muda wa kuelewa fundamental rules on forex uta trade mwenyw na utajipa faida...hakuna pesa rahisi duniani na nakubal ukiona biashara ina magic profits jiulize mara 700