Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 959
- 2,374
Umeingia kwenye top ten ya watu wapumbavu na wasiojielewa duniani. Congra next week unaweza kuingia top 5
hupaswi kumdhihaki mwenzako boss, matapeli wanabuni njia mpya kila uchao kama mtu uliyestarabika ungepaswa kumpa ushauri namna ya kumsaidia ili asipigwe tena ama kuipata pesa yake na sio kama unavyofanya hapa, sidhani kama ni ustarabu ndugu yangu.Umeingia kwenye top ten ya watu wapumbavu na wasiojielewa duniani. Congra next week unaweza kuingia top 5
mkuu hakuna kitu kinachoshindikana ilimradi conversation zote zipo na muamala upo inawezekana sana tuAcha kumpoteza mwenzakooo... Hela ya kutuma mtandaoni hakuna hata mahali mmeandikishiana aiseee asahau tuu tena akitaka kujidai kwenda polisi atapoteza pesa nyingine zaidi
Kwa sisi wakristo tunasemaga BWANA AMETOA BWANA AMETWAA.....
Sent from my SM-M105F using JamiiForums mobile app
Wakuu kwema..
Mambo ya online business kuna page Instagram wanauza iPhone, nikachati na muuzaji anauza simu used kutoka UK nilitaka iPhone 7+ wao wanauza 450,000 nikawaomba wakanipunguzia mpka 430,000 ijumaa ya tarehe 22 nikawatumia pesa kwa tigo pesa wakala ...mwenyewe anadai duka lipo Zanzibar simu ukisha order inakuja na boat ya mchana kwa maelezo yake.... Nilivotuma hiyo pesa aka confirm kwamba kapokea akiniahidi kwamba atanipa mamba ya mtu anaefanya delivery huku Dar ndo maongezi yakaishia hapo...kila nkimwambia anitumie hiyo namba kimya na kaniblock jamani naombeni msaada nataka niende police je kuna utaratibu gani huko kwa kesi za kutapeliwa mtandaoni....?? Naombeni muongozo karibuni
Haya aendee bhasiiimkuu hakuna kitu kinachoshindikana ilimradi conversation zote zipo na muamala upo inawezekana sana tu
Kwa hyo hata jina la hiyo page umeshindwa kuiweka?
Mliwasiliana dm au kwa namba za kawaida?
Si unalegezwa na maneno alafu Kumbuka bei ushapewa ya mteremko mwenyewe unaona umepataHivi unaanzaje kumtumia mtu 430k kirahisi hivyo? Akili za kuvukia barabara tu hizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
nilishakutana nae sana kupatana nikawa nacheka tu kwa sababu najua bei za apple devicesKuna mmoja alikua kupatana anauza mac book air au mac book pro kwa bei nyanya kweli kweli.
Mwenyewe alikua anaonyesha yupo Iringa.
I never thought atamnasa mtu mpaka siku nikakuta uzi humu eti jamaa katapeliwa na lile andazi.
Sasa wewe mtu anakwambia yupo Znz na bado unafanya naye business ya kumtangulizia pesa huku hana established trust yoyote kwako? Na kiukweli huyo mtu hayupo Znz. Atakua tu kijiwe fulani huku huku bara akiwapigia stori jinsi alivyomkamata mjinga wake.
Anyway, a sucker is born every second.
With deep regrett and without respect..Kwanini mnapenda kuingiza ukabila?? Na kupandikiza sumu hii inayo tapakaa ktk jamii... Tuwe wastaarabu hata 20% !!
Samahani kama nimekwaza hisia ya mtu!!