Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,837
- 54,047
Vipi mkuu?Unatuonea wivu?Tuna misamiati mingi tu;😴😴
-flastesheni
-intaplinywaa
-font fed
-eahosteji
na kadhalika wa kadhaa!
Vipi mkuu?Unatuonea wivu?Tuna misamiati mingi tu;😴😴
Mna vituko, kwanini muliwazuia wale ma eahosteji wasiende kuwashikia makopo ya rangi sauzi.Vipi mkuu?Unatuonea wivu?Tuna misamiati mingi tu;
-flastesheni
-intaplinywaa
-font fed
-eahosteji
na kadhalika wa kadhaa!
Eee...ni kwamba hawakua vivutio vya utalii kabisa "pasee"! Akchuare hawakuwa na biriani kabisa.Watalii wasingevutika kuja kufanya utalii.Mna vituko, kwanini muliwazuia wale ma eahosteji wasiende kuwashikia makopo ya rangi sauzi.
Ndiyo wewe ni dhaifu na sio wewe tu wanaume karibia wote tanzania ni dhaifu ushahidi huu
View attachment 1076867
Koooh!Kooh!Atufigwege is in for it!Ajabu! Mwanaume anaangalia mfano wa maungo ya mwanaume kwa hamu kubwa hivyo... Lo!
Hiyo kahawa wauzie wasiojua madhara yake ya caffeine lkn kwa sisi wengine tupe hata togwa tu itatutoshaHii kauli kiukweli ina uma sanaaa,unapotamkiwa na mtu yeyote.
Na ina uma pale kiukweli wewe ni dhaifu kwenye mambo Fulani.
Mfano leo mke wangu kanitamkia kuwa Mimi ni dhaifu sana kwenye kufanya kazi kauli ambayo imesababisha nikimbie mji kwani nimedharirika sanaaa.
Kumbe hii kauli ina uma sanaa isee
Mtangazie wazi kuwa Hushirikiani nae tena "KIKAZI"...!
Kabla sijakupa ushauri naomba umpe vibao 3
Usifanye kazi na yeye.
Mtafute "mtaalamu" atakayekufundisha namba ya kupiga "romance" wee (hata nusu saa ikibidi), mpaka akawambie "amekuwa dhaifu" ndipo wewe uanze "kushughulika" Kumridhisha mwanamke ni "maujanja" tu sio saizi ya mtwangio wala urefu wa muda wa kutwanga.
Hizi comment zinafurahisha aiseeNauza vumbi la Congo
Maana si kwa uchekaji huo huku akijipimia vitu bandia mikononi mwake ChifuHuyu hapumuliwi kweli?
wewe ni dhaifu sanaaa, unakimbia mji kukimbia kauki!Hii kauli kiukweli ina uma sanaaa,unapotamkiwa na mtu yeyote.
Na ina uma pale kiukweli wewe ni dhaifu kwenye mambo Fulani.
Mfano leo mke wangu kanitamkia kuwa Mimi ni dhaifu sana kwenye kufanya kazi kauli ambayo imesababisha nikimbie mji kwani nimedharirika sanaaa.
Kumbe hii kauli ina uma sanaa isee
Kanipa mashaka sana mkuuMaana si kwa uchekaji huo huku akijipimia vitu bandia mikononi mwake Chifu
mimi sio dhaifu njoo nikuhakikishieNdiyo wewe ni dhaifu na sio wewe tu wanaume karibia wote tanzania ni dhaifu ushahidi huu
View attachment 1076867
CheeeeeNdiyo wewe ni dhaifu na sio wewe tu wanaume karibia wote tanzania ni dhaifu ushahidi huu
View attachment 1076867
Mwambie ajiuzuru mwenyewe wadhifa wake.
Hii kauli kiukweli ina uma sanaaa,unapotamkiwa na mtu yeyote.
Na ina uma pale kiukweli wewe ni dhaifu kwenye mambo Fulani.
Mfano leo mke wangu kanitamkia kuwa Mimi ni dhaifu sana kwenye kufanya kazi kauli ambayo imesababisha nikimbie mji kwani nimedharirika sanaaa.
Kumbe hii kauli ina uma sanaa isee
Ndiyo wewe ni dhaifu na sio wewe tu wanaume karibia wote tanzania ni dhaifu ushahidi huu
View attachment 1076867
Umeolewa?Kwani Mimi ??? We huoni kama mpaka kiwanda cha kutengeneza mboo bandia kimejengwa nchini huoni kama wanaume wa nchi hiyo ni dhaifu???
Mwambie wewe hulipendi neno hilo!Hii kauli kiukweli ina uma sanaaa,unapotamkiwa na mtu yeyote.
Na ina uma pale kiukweli wewe ni dhaifu kwenye mambo Fulani.
Mfano leo mke wangu kanitamkia kuwa Mimi ni dhaifu sana kwenye kufanya kazi kauli ambayo imesababisha nikimbie mji kwani nimedharirika sanaaa.
Kumbe hii kauli ina uma sanaa isee