Nimetafuta ajira nimeipata kwenye kampuni la wahindi ila hiyo kazi, ushauri

Kesho najaza mkataba wa kazi Mungu akipenda, kazi unazunguka na bidhaa gawio la asilimia 10 ya mauzo kwa siku..ndo salary (mfano wa wakala)

Ukifikisha point wanakupromote unakabidhiwa ofisi... Nipo naitafakari hii kazi..
Kwa anaetaka aje nimuumganishe aandike barua ya kuomba kazi na barua ya mdhamini.. Na paspot size mbili zako na za mdham wako
Sasa kwanini usifanye mwenyewe binafsi hiyo kazi hadi ufanye na hao wahindi?
 
Kesho najaza mkataba wa kazi Mungu akipenda, kazi unazunguka na bidhaa gawio la asilimia 10 ya mauzo kwa siku..ndo salary (mfano wa wakala)

Ukifikisha point wanakupromote unakabidhiwa ofisi... Nipo naitafakari hii kazi..
Kwa anaetaka aje nimuumganishe aandike barua ya kuomba kazi na barua ya mdhamini.. Na paspot size mbili zako na za mdham wako
UNAZUNGUKA NA USAFIRI AU,KAMA KWA MGUU MSHAHARA NI WA KUBADILISHA SOLI YA KIATU .
 
Nilivyomaliza form 4 mwaka 2004 niliwah kuomba kazi, nkaenda nkapewa mkataba wa kazi, nkakabidhiwa kwa mtu wa kunifundisha kaz, kumbe ndo kaz hii unayokwenda kujaza mkataba kesho?

Nilizunguka na jamaa na mahotpot, mabesen, sahan, vikombe, tulitembea kutwa, kurud saa 12 jioni, mnaacha vitu kesho tena.

Aseh, sikurud hyo kesho.. Hyo syo kaz, watakunyonya
aisee nimecheka Sana
 
Kesho najaza mkataba wa kazi Mungu akipenda, kazi unazunguka na bidhaa gawio la asilimia 10 ya mauzo kwa siku..ndo salary (mfano wa wakala)

Ukifikisha point wanakupromote unakabidhiwa ofisi... Nipo naitafakari hii kazi..
Kwa anaetaka aje nimuumganishe aandike barua ya kuomba kazi na barua ya mdhamini.. Na paspot size mbili zako na za mdham wako

Sijawahi kufikiria kufanya hiyo kazi labda nikushauri kama una mtaji wa kufika hata laki 1, inatosha kuanza kufanya biashara yako ila kama huna kabisa fanya kwa lengo la kutafuta mtaji tu.
 
Kesho najaza mkataba wa kazi Mungu akipenda, kazi unazunguka na bidhaa gawio la asilimia 10 ya mauzo kwa siku..ndo salary (mfano wa wakala)

Ukifikisha point wanakupromote unakabidhiwa ofisi... Nipo naitafakari hii kazi..
Kwa anaetaka aje nimuumganishe aandike barua ya kuomba kazi na barua ya mdhamini.. Na paspot size mbili zako na za mdham wako
Mkuu kuna dogo kamaliza chuo yupo tuu mtaani, hebu tuyajenge..
 
Kma upo Dsm aisee hilo jua lake si mchezo.saa4 asubuhi hadi saa 8 ukitembea unaweza toka damu puani na masikioni.Ukinunua maji jero msosi buku jero. Buku 2. Na kadhia zingine za jiji kibao.

Kazi kama hizo bora upange hovyo vyombo Temeke stereo au kariakoo wateja watafuata.Ila ya kutembeza sikushauri maana so lake sio la nchi hii.

Kama utaweza tafuta kazi ya kukaa.ukae mteja ndo aje au uwe unazunguka na kirikuu mitaani hapo sawa.

Kama utafanya hivyohivyo mwambie boss mgawanyo ni 40/60.Ukiuza buku mia 4 yako mia6 yake.hapo vipi?
 
Mkuu kuna dogo kamaliza chuo yupo tuu mtaani, hebu tuyajenge..
[/QUOTE

Niliwahi kutembeza hayo mabeseni changamoto hayo mabeseni ni makubwa balaa hata daladala wanakukataa kwamba utamaliza nafasi, malipo hayako wazi unaweza kufanya malipo ukalipwa tofauti nilifanya wiki nikaacha nikafungua genge la kuuza matunda.
 
Ukikutana na classmate usijetupa mabeseni. Au una standby masks?
Dah mkuu umenikumbusha mbali, beat zao ni kuwa unakuwa msambazaji wa bidhaa. Kuna kipindi nilimalizaga form six nipo kitaa Moro nikaomba hiyo kazi. Siku ya kwanza nikazunguka na jamaa hadi jioni misele ya kutosha kwenye maofisi ya watu. Siku ya pili tupo mtaani nikakutana na madem wananifahamu kindakindaki. Nilijifunika na beseni lakini walishaniona. Tulivyopishana tu nikampa vyombo vyote yule mwalimu wangu na sikurudi tena!!!
 
Mwaka 2009 nimemaliza kidato cha sita daah nikaonaga gazeti tangazo la kazi, nikatuma maombo lazi yenyewe ipo chang'ombe maduka mawili kufanya usaili kupata kazi nikapewa mavyombo na jamaa nianze kuvitembeza hahahaha daah aisee nikakumbuka nianze kutembeza vyombo nianze kukutana na watu wanaonijua? Vumbi la Dar nikaona bors nikae tu nyumbani bila kazi...
 
Mwaka 2009 nimemaliza kidato cha sita daah nikaonaga gazeti tangazo la kazi, nikatuma maombo lazi yenyewe ipo chang'ombe maduka mawili kufanya usaili kupata kazi nikapewa mavyombo na jamaa nianze kuvitembeza hahahaha daah aisee nikakumbuka nianze kutembeza vyombo nianze kukutana na watu wanaonijua? Vumbi la Dar nikaona bors nikae tu nyumbani bila kazi...
Bora mkuu maana duuh
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom