Sunday Ngakama
Member
- May 5, 2012
- 68
- 33
Wabongo tunakufa mapema kwa sababu ya kuwa serious all the time. Mwache akimbizane na watoto baba wa watu!!
Nimekutana na hii picha ya Obama akikimbizana na mtoto mdogo ikulu. unajua ni nadra sana kwa kiongozi wa taifa kufanya mambo kama haya. huu ni uvivu wa kufanya kazi ama ni mapenzi kwa watoto?. Na Tanzania je , katiba inaruhusu kufanya mambo kama haya? tupia maoni yako Mdau..
View attachment 73499