Zingzingzing
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 655
- 604
- Thread starter
- #61
...
mkuu atupe mrejeshoUsisahau kutupa mrejesho mwezi ujao yaan wa tano.
Tafuta mwalimu mwenye mkopo. Hawa wazuri sanamimi kama mwanafunzi wa chuo kikuu nimetafakari ni bora ni kawa na mpenz hata wa kufarijiana na kupeana mawazo mawili matatu lakini nawaza sana juu ya mambo yafuatayo ,,1]kuombwa pesa,2]kupeana stress ,hasa kama kozi moja 3]out zisizo na msingi, nachoka kuwaona wasichana wengi lakini similiki hata mmoja daaa let me try,,,.
Hahaa hyo ya assignmement umemjibu vizur mpka rahaChabure Ni shikamoo...... vingine lazima Ugharamie
Usisahau kumfanyia assignments
Umenikumbusha mbali.Chabure Ni shikamoo...... vingine lazima Ugharamie
Usisahau kumfanyia assignments
Hhahahah hako kabachelor kako 70% ni kutoka kwangu... Dah sema bila ya kukufanyia assignment ungenikataaaUmenikumbusha mbali.
Una kumbuka ulivyokuwa unasoma chuo Fulani dar na Mimi chuo Fulani mkoani?
Tukipewa assignment nakutumia kwenye Email unafanya unairudisha Mimi nakusanya tuu?
Yaani karibia chote ni cha kwako.Hhahahah hako kabachelor kako 70% ni kutoka kwangu... Dah sema bila ya kukufanyia assignment ungenikataaa
Umenikumbusha mbali.
Una kumbuka ulivyokuwa unasoma chuo Fulani dar na Mimi chuo Fulani mkoani?
Tukipewa assignment nakutumia kwenye Email unafanya unairudisha Mimi nakusanya tuu?
Hhahahah hako kabachelor kako 70% ni kutoka kwangu... Dah sema bila ya kukufanyia assignment ungenikataaa
Nyie watu Mimi NAWAPENDAYaani karibia chote ni cha kwako.
Nimemaliza chuo sijui assignment inafanywaje ha ha ha.
Hapana nisingekukataa maana wewe nilikuwa na kupenda sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaha.... Kumbe unanipenda.... Mbona ulinizunguusha saana. Yaani paka umehitimu....bado unakaza...Yaani karibia chote ni cha kwako.
Nimemaliza chuo sijui assignment inafanywaje ha ha ha.
Hapana nisingekukataa maana wewe nilikuwa na kupenda sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie watu Mimi NAWAPENDA
Kidogo bhaana ili usinione Malaya.Ahaha.... Kumbe unanipenda.... Mbona ulinizunguusha saana. Yaani paka umehitimu....bado unakaza...
Love you too baby doll
aiseChabure Ni shikamoo...... vingine lazima Ugharamie
Usisahau kumfanyia assignments