shamajengo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,217
- 1,431
Bado kunamtu anatamani jf ifungwe kisa watu wanajadili vitu asivyopenda. ninauhakika hata haya marebisho yatakuwa yamefanyika baada ya wewe kuandika humu which is for the country's benefitsView attachment 1449541
Nawashukuru kwa kunisikiliza naona DNS mpaka server za mafaili yote yako Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app