mandator aktritky
New Member
- Jan 10, 2020
- 3
- 1
Habari,Mimi ni kijana ninayesomea diploma ya ugavi na ununuzi kutoka chuo cha uhasibu Tanzania(TIA). Ifikapo tarehe 1/8/2021 tunatakiwa kuanza kufanya field(masomo kwa vitendo).
Hivyo naomba msaada kwa yeyote anayeweza kunisaidia nipate sehemu ya kufanyia field.
Hivyo naomba msaada kwa yeyote anayeweza kunisaidia nipate sehemu ya kufanyia field.