well saidAisee, ni kazi kupata kazi, Ila unavyosubr milioni ebu tafuta buku, maisha Lazima yaendelee
Pole sana na changamoto ya ukosefu wa ajira, usikate tamaa, kuna watu wana over 3 yrs mtaani na bado wanapambana, ningekushauri uingie kwenye masuala ya kujiajiri lakini najua huku napo si rahisi.
Ushawahi kutembelea sherehe zozote za kibalozi hapa tanzania???