FrankMakeps
Member
- Apr 1, 2013
- 93
- 70
Habari ndugu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26, Natafuta kazi yoyote kati ya hizi nimemaliza Diploma ya Procurement na pia nna cheti cha ufundi wa magari level II pia nnayo lesen yenye madaraja yafuatao,A,A2,B,C1,C2,C3,D,E,F,G.
Nipo tayari kufanya kazi yoyote kati ya hizo.
Naombeni msaada wenu, Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo tayari kufanya kazi yoyote kati ya hizo.
Naombeni msaada wenu, Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app