Nimesingiziwa mimba isiyo yangu, wanawake tuishi nao kwa akili kweli

Mkuu inaniuma sana, roho yangu inaugulia uchungu nisije lea mimba haramu, wanawake tamaa zimetawala yaweza kuwa alikuw na mtu
Peleke ujinga kule

Sasa unawasingizia wanawake tamaa kwani wewe hukuwa na tamaa mpaka ukamgonga kavu?
 
lea mimba kijana acha kutafuta sababu za kukimbia majukumu
Sawa mkuu me ntailea lakini tena mbona haeleweki, mara anasema hana mimba au sababu ya kumbana vile akaona ageuze vile?
Me nilimwambia baadae kama kweli mimba anayo me ntailea asifanye maamzi magumu ya kutoa
 
Hiyo kinga ya Coca Cola ndio naisikia leo
Halafu nawe ukakubali
Ila wanaume huwa inatuuma kweli yaani ule uroda mara 1 tu au 2 halafu mimba hiyo
At least upige shoo hata mara 10 aisee
 
Alikuambia yuko kwenye siku za hatari na wewe ukafanya bila kinga, yet unakataa mimba. Unamchukuliaje mtoto wa watu? Kwa nn hukutumia kinga?
 
Habari za Jumapili njema wapendwa, sifa zote apewe Mungu muumba mbingu na nchi. Amina.

Soma kwa makini kuna fundisho hapa

Jamani nimekuja humu ndani kupata suruhisho la masaibu yanayo nisumbua na kunipa stress zaidi katika wakati huu.

Hii changamoto naona inanilemea tofauti na kupata msaada wenu ntaishia pabaya.

Maada:

Me nimekuwepo na girl friend ambae tumezoeana takriban mwezi mmoja, tumezoeana siku hadi siku baadae mwafaka ukawa baadaye tuoane.

Amekuwa akija kunitembelea kama kawaida geto,, lakini tokana na nguvu ya shetani kutuvaa tulijikuta tumeanguka.

Ilikuwa tarehe 24 ya mwezi wa 4 usiku ndo tulishiriki ngono lakini pia katika kushiriki binti aliniambia nikanunue soda ya Coca Cola kwa ajili ya kutumia kama kinga.

Basi sikuwa na hiana nikafata baada ya kunikazia kuwa yupo kwenye siku za hatari yasije tokea mengine ya mimba.

Nilipoileta basi tukaendelea na mambo mengine baada ya kumaliza alimimina na kuanza kunywa taratibu,,nikamuuliza kazi yake, anadai anapokunywa zile shahawa zinatelemka zenyewe tu.

Basi na kweli zikawa zinatelemka anajifuta.

Baada ya siku hiyo kupita tukakutana tena tarehe 28 mwezi 4 huo huo mchana.

Baada ya kumaliza, siku hiyo akaanza kudai tumbo linamuuma,nikamwambia itakuwa hali tu ya tumbo,, siku ya pili hivyo hivyo basi ikafika tarehe 6 ya mwezi wa 5 akadai haoni siku zake na siku ya pili yake hakuaona ambayo ni tarehe 7,mpaka sasa anasema yupo dry.

Nikamsihi itakuwa mabadiliko ya hali ya hewa lakini ananambia hii itakuwa mimba,, wakati huo sipo nae maana yupo kwao alisafiri hiyo tarehe 6 tokana na changamoto alizokuwa akipata alipo kuwa anaishi.

Mimi nikamsisitiza kapime tuone tatizo nini(yupo kwao mda huu) anasema ntapima tu lakini itakuwa mimba.

Nimemtolea uvivu nikamtega maswali, alidai breed aliingia tarehe 6 mwezi wa nne akatoka tarehe 9 na mimi nilikutana nae tarehe 24 kwa kinga ya soda,tarehe 28 bila kinga,.

Nimefatilia kuhusu mzunguko maana me si kweli alikuwa kwenye hatari ya kupata mimba, na nimemhusisha imekuwa kesi,nikamwambia aniambie ukweli kama hakuwa na mahusiano huko nyuma kabla yangu lakini kakana.kalia sana eti hakutegemea kama ntamwambia mambo kama hayo.

Mara mimi najua hii mimba niyako hata ukikataa,, lakini mimi moyo wangu hauna amani kabisa juu ya swala hili,, nahisi kubambikiwa mzigo usiyo kuwa wangu.

Ilikuwa imebaki kidogo tu tuanze maisha ya ndoa maana wazazi taarifa wanazo kuwa runataka kuoana,,

lakini amani moyoni mwangu haipo nahisi harufu ya usaliti imepita.

Nisiwachoshe sana wakuu swali langu.

Kwa wataalamu wa mzunguko wa hedhi hasa wanawake mnisaidie je nikweli huu mzigo ni wangu?

Maana mimi nikiangalia siku zote tulizo shiriki siyo siku za kushika mimba kufatana na huo mzunguko wake.

Asije ikawa mimba alikuwa nayo halafu kaja kutegesha kwangu.

Nikomee hapo wakuu, msaada wenu ni mhimu sana.

Asanteni.

Ndugu kubambikiwa hua kunakuwaga na dalili....!!maanake mpaka mtu akubambikie anajipanga kwanza

Kwa mwanamke anayejua yupo kwenye siku zake ni mara chache saana kukubali sex bila kinga (labda km amepania)...

na kama amekuambia mambo ya coca maanake ni anatafuta starting point (yan anakuweka sawa siku akitaka kuangusha jumba ucwe na pa kutokea)

Pia ukiona mwanamke umemuambia kuwa kachelewa period lbd kwa ajili ya hali ya hewa akakazania kuwa ni mimba (kabla hajapima)..!!hiyo mimba ilikuwepo kabla hujapiga

Namaliza kwa kusema....!!inawezekana hata yeye hajui ni ya nani (maybe kulikuwa na wengine....so jaribu kuwaza katka mahusiano kabla ya mimba ushawah kufumania hata text ya mtu yenye utata...kama ni ndio then think twice kuhusu hiyo mimba)
 
  • Thanks
Reactions: _ID

Similar Discussions

18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom