X-12
JF-Expert Member
- Sep 23, 2020
- 444
- 648
Hii ni kweli kabisa, achukue huu ushauriMimba yako hio ..kwa taarifa tu Coca cola haizuii mimba na ukipiga mahesabu alikua siku ya hatari hio tarh 24.Muombe msamaha na anza kujiandaa kua baba
Hii ni kweli kabisa, achukue huu ushauriMimba yako hio ..kwa taarifa tu Coca cola haizuii mimba na ukipiga mahesabu alikua siku ya hatari hio tarh 24.Muombe msamaha na anza kujiandaa kua baba
Chamhimu vipimo tu,, nimemwambia kama ni mimba asiitoe lakni leo nashangaa naambiwa alikuwa anipima tu,, mi sijamuelewa lengo lake nini
Yako hiyoItakuwa ilinasa mkuu?
Dawa ya kuzuia mimbaMasaa 72 ya nini mkuu?
Sawa mkuu, kama akinipiga kibuti ndo ntajua kumbe upendo haukuwepo alikuwa akiniigiziaHuenda alikuwa anakupima kweli, majibu kashayapata...
Hivyo jiandae kwa kibuti
Sent using Jamii Forums mobile app
Kua uyaoneSiijui mkuu
Huenda alikuwa anakupima kweli, majibu kashayapata...
Hivyo jiandae kwa kibuti
Sent using Jamii Forums mobile app
Ultrasound Ina Majibu tata mkuu, labda sijui za sehemu zngne Kama zinasema ukweliSuruhisho la mwisho ni Ultra sound
Mkuu hiyo coca ni hi nayoijua mim
Sawa mkuuUltrasound Ina Majibu tata mkuu, labda sijui za sehemu zngne Kama zinasema ukweli
Mimi nilifatiza hiyo nikpga Hesabu na sema si wangu , lakn baadae ikawa inapshan yenyew ,
Be patient subr miez Hadi ajifungue unawez kuhusianish
NB:- usiwe upande wowote
Hiyo mimba ni yake 2000%Hiyo mimba ni yako.
Hahaha.. utakuwa unapokea notice za ustawi wa jamii tu sheikh 😂😂😂Kwahyo mkuu huwezi we kukataa mimba?