Bin Shaib
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,315
- 1,186
- Thread starter
- #341
Chamhimu vipimo tu,, nimemwambia kama ni mimba asiitoe lakni leo nashangaa naambiwa alikuwa anipima tu,, mi sijamuelewa lengo lake niniIla elimu ni jambo la muhimu sana...
Hivi kweli kuna mtu anaamini kunywa Coke kunazuia ujauzito...!!!
Halafu mtu anadinyana bila condom wakati hata elimu ya uzazi hana, hajui kwamba mimba hiweza kutungwa hata nje ya siku za hatari kutegemeana na mabadiliko ya vichocheo...
Sent using Jamii Forums mobile app
(japo kasafiri yupo mbali na mimi)