Nimesimamishwa kazi kwa kosa la kutokufika kazini, je nifanyeje?

Hapana mkuu. Pesa siyo tatizo. Isitoshe ingekuwa hivyo angemuambia mkurugenzi anihamishe maana kuna shule 33.="Mtoto halali na hela, post: 20841608, member: 96921"]Pole sana mkuu, ama shule imefilisika anataka atumie kijisababu hicho[/QUOTE]
 
Soma Ayubu 36:13 Lakini hao wasiomcha Mungu mioyoni hujiwekea hasira Hawalilii msaada hapo awafungapo.
Hakuna jambo baya kwa mfalme akupe adhabu alafu uitekeleze kwa furaha. Mfalme hupenda pale anapokupa adhabu urudi na kumpigia magoti kwa unyenyekevu. Jua kuwa mfalme anapokupa adhabu yeye haimuongezei chochote, ila pale unaporudi kumpa utukufu na kumuomba akuondolee hiyo adhabu, yeye hunufaika.
Hivyo basi, rudi kwa huyo mkuu wa shule. Mfuate nyumbani kwake jioni au usiku umuombe msamaha akuondolee hiyo adhabu na kama kuna namna myamalize. Beba hata zawadi ya trei moja la mayai au hata mkungu wa ndizi uende nao pale.. Nakwambia ukifanya hivi ilo soo litaisha fasta. Ila ukijifanya sijui kuijua sheria, basi ujue umekwisha...
Kumbuka pia hiyo ajira yako ni muhimu kwa sasa maana hata huku mtaani kumewaka moto. Pesa haionekani. Ingekuwa zile zamani za Jakaya, ningekwambia umpige chini uje tufanye bizness huku kitaa maisha yasonge...
 
(Cha ajabu ni kuwa leo amekuja na kunitaka nikabidhi mali za shule na kunipa barua ya kunisimamisha kazi afanye uchunguzi halafu ataniita kwa utetezi.

Kosa kwenye barua ni hilo la kutofika kazini siku hiyo.

Kwa ninavyomjua ni dhahiri kuwa kifuatacho ni barua ya kunifukuza kazi.)

================
Kwa maelezo yako hapo... Kuna ukweli umeificha... Umepewa onyo au barua ya kuachishwa kazi??


Cc: mahondaw
 
(Cha ajabu ni kuwa leo amekuja na kunitaka nikabidhi mali za shule na kunipa barua ya kunisimamisha kazi afanye uchunguzi halafu ataniita kwa utetezi.

Kosa kwenye barua ni hilo la kutofika kazini siku hiyo.

Kwa ninavyomjua ni dhahiri kuwa kifuatacho ni barua ya kunifukuza kazi.)

================
Kwa maelezo yako hapo... Kuna ukweli umeificha... Umepewa onyo au barua ya kuachishwa kazi??


Cc: mahondaw
Sina sababu ya kuficha chochote. Barua sio ya ONYO wala kuachishwa kazi bali ni ya kusimamishwa kazi. Ningeiweka hapa ila haitakuwa busara
 
Sina sababu ya kuficha chochote. Barua sio ya ONYO wala kuachishwa kazi bali ni ya kusimamishwa kazi. Ningeiweka hapa ila haitakuwa busara
Mkuu kuna kitu kimejificha hapo hutaki kuweka wazi..
Yani hukufika kazini siku moja alafu akuandikie barua ya kukusimamisha kazi ili afanye ufhunguzi...
Sasa anschunguza kama hukufika kazini au ulifika? Au anachunguza nn?!
 
Mkuu ninahitaji msaada na sitaupata kama nitaficha mambo. Pia sina kosa lingine zaidi na hilo sidhani kama ni kosa pia maana hata waliofika kazini walikataliwa kusaini kuwa wapo kazini.
Mkuu kuna kitu kimejificha hapo hutaki kuweka wazi..
Yani hukufika kazini siku moja alafu akuandikie barua ya kukusimamisha kazi ili afanye ufhunguzi...
Sasa anschunguza kama hukufika kazini au ulifika? Au anachunguza nn?!
t
 
Wakuu habari za mchana na poleni kwa majukumu.

Nimeajiriwa kama mwalimu katika shule moja inayomilikiwa na kanisa. Mnamo tarehe 07/04/2017 mkuu wa shule alitutaka tufike kazini japo ilikuwa ni sikukuu ya kitaifa (Karume day). Nilitoa udhuru kwamba licha ya kuwa ni siku ya mapumziko pia nilikuwa na masuala ya kifamilia niliyopanga kurekebisha siku hiyo.

Baada ya siku hiyo mkuu alikuja akatangaza kuwa anatoa likizo kwa wafanyakazi wote kuanzia tarehe 12/4-23/4/2017 isipokuwa mimi niendelee kufika kazini kama kawaida. Nilitimiza amri yake na kufika shuleni siku zote bila kunung'unika au kulalamika hadi jana shule ilipofunguliwa.

Cha ajabu ni kuwa leo amekuja na kunitaka nikabidhi mali za shule na kunipa barua ya kunisimamisha kazi afanye uchunguzi halafu ataniita kwa utetezi.

Kosa kwenye barua ni hilo la kutofika kazini siku hiyo.
Sina rekodi ya makosa na sijawahi kupewa barua yoyote ya onyo.
Kwa ninavyomjua ni dhahiri kuwa kifuatacho ni barua ya kunifukuza kazi.
Ninaomba ushauri wenu nifanye jambo gani maana naona wazi haki zangu zinaminywa na mkataba wangu unaelekea kumalizika.

Natanguliza shukrani zangu kwa ushauri mtakaonipatia.
pole sana kk
 
Wakuu habari za mchana na poleni kwa majukumu.

Nimeajiriwa kama mwalimu katika shule moja inayomilikiwa na kanisa. Mnamo tarehe 07/04/2017 mkuu wa shule alitutaka tufike kazini japo ilikuwa ni sikukuu ya kitaifa (Karume day). Nilitoa udhuru kwamba licha ya kuwa ni siku ya mapumziko pia nilikuwa na masuala ya kifamilia niliyopanga kurekebisha siku hiyo.

Baada ya siku hiyo mkuu alikuja akatangaza kuwa anatoa likizo kwa wafanyakazi wote kuanzia tarehe 12/4-23/4/2017 isipokuwa mimi niendelee kufika kazini kama kawaida. Nilitimiza amri yake na kufika shuleni siku zote bila kunung'unika au kulalamika hadi jana shule ilipofunguliwa.

Cha ajabu ni kuwa leo amekuja na kunitaka nikabidhi mali za shule na kunipa barua ya kunisimamisha kazi afanye uchunguzi halafu ataniita kwa utetezi.

Kosa kwenye barua ni hilo la kutofika kazini siku hiyo.
Sina rekodi ya makosa na sijawahi kupewa barua yoyote ya onyo.
Kwa ninavyomjua ni dhahiri kuwa kifuatacho ni barua ya kunifukuza kazi.
Ninaomba ushauri wenu nifanye jambo gani maana naona wazi haki zangu zinaminywa na mkataba wangu unaelekea kumalizika.

Natanguliza shukrani zangu kwa ushauri mtakaonipatia.
pole sana kk
 
Mkataba unasemaje Mkuu? Uliwahi kupata barua ya onyo yoyote ile? Naomba usijibu kwa maandishi kama yakupasa kujibu. Weka mkataba
 
Soma mkataba alafu we kazini uwe unafika maana nahisi kuna mtego hapo. Mkuu wa shule ndo mwenye shule au? Onana na mkurugenzi wa shule au bodi ya shule waeleze. Huyo Mkuu ataiingizia taasisi yake hasara
 
Back
Top Bottom