Nimesikitishwa Taifa Stars Kutembeza Bakuli

Sheikh23

JF-Expert Member
Jul 11, 2016
1,126
1,837
A.alleikhum,nimesikitishwa na habari ya timu yetu ya taifa Taifa Stars kuhitaji kuchangiwa pesa ili kumudu gharama za mashindano ya Afcon..
(Source:Mwananchi)
Taarifa hii imeniacha na maswali mengi kuhusu mapato ya wizara,shirikisho na mamlaka zinazohisika juu ya hili,ni kwamba hazina pesa au ishakuwa tamaduni kutumia timu kama mwamvuli wa kuchukua visenti toka kwa raia mnyonge ikiwa kuna serikali/wizara husika,nimetafakari mpaka na makusanyo ya matrilioni ya TRA kwa mwezi...
Inatosha,ila hili nimelipokea kwa kighazabika sana...
FB_IMG_1560773603810.jpeg
 
Hii itakuwa ni janja ya mtu flan kutaka kuwapiku wale waliochangia yanga milioni mia mbili na mia tatu, itaitishwa harambee hapa na mtu atatoa milioni mia tano, ili awafunike wenzie! hii awamu ina viongozi wa ajabu sana,. Wapenda sifa na makamera
 
Taifa linatembeza bakuli,halafu Simba wanatucheka Yanga. Atakaechangia hajielewi. Bashite si awachangie? Najua Magufuli kamnyima pesa Harrison. Ndo maana Harrison hana jinsi imebidi aje kwa wanyonge. CAF inatoa hela,wamezipeleka kwenye Sitigilas goji?
 
A.alleikhum,nimesikitishwa na habari ya timu yetu ya taifa Taifa Stars kuhitaji kuchangiwa pesa ili kumudu gharama za mashindano ya Afcon..
(Source:Mwananchi)
Taarifa hii imeniacha na maswali mengi kuhusu mapato ya wizara,shirikisho na mamlaka zinazohisika juu ya hili,ni kwamba hazina pesa au ishakuwa tamaduni kutumia timu kama mwamvuli wa kuchukua visenti toka kwa raia mnyonge ikiwa kuna serikali/wizara husika,nimetafakari mpaka na makusanyo ya matrilioni ya TRA kwa mwezi...
Inatosha,ila hili nimelipokea kwa kighazabika sana...View attachment 1129881
Kwani mataifa mengine yanafanya Je ?!. Sisi tumekwama wapi ?! Mbona hua kuna pesa za kununua wapinzani na chaguzi za marudio ya maigizo ?! Tena mabilioni !! . Kwani mipango haikuepo toka timu ilipofuzu ?!.
 
Hahahaha ase umenichekesha,
Taifa linatembeza bakuli,halafu Simba wanatucheka Yanga. Atakaechangia hajielewi. Bashite si awachangie? Najua Magufuli kamnyima pesa Harrison. Ndo maana Harrison hana jinsi imebidi aje kwa wanyonge. CAF inatoa hela,wamezipeleka kwenye Sitigilas goji?
 
Taifa linapata aibu bila kutarajia!! Nchi inaonekana haikuwa imejiandaa kwakweli!! Wanafanya kufuru kwene mambo yasio na maana ila mambo ya msingi hawataki pesa itumike
Kwani mataifa mengine yanafanya Je ?!. Sisi tumekwama wapi ?! Mbona hua kuna pesa za kununua wapinzani na chaguzi za marudio ya maigizo ?! Tena mabilioni !! . Kwani mipango haikuepo toka timu ilipofuzu ?!.
 
Kama hawana hela warudi tu nyumbani wakae na familia zao kusubiri msimu mpya. Sio kusumbua sumbua raia
 
Hahaha!

Mpenda showoff huyo.

Role model wake atakuwa sepenga
Kuna moja nilihudhuria jana kidada kinaishi getto la ovyo kweli..lakin nashangaa sikuona kinywaji cha bei ya magufuli..yani zile gharama ni 2m na upuuzi

Nikawa nakiangalia nasema haka katoto kanatumia nin kufikiri,
 
Wivu mbaya sana

Kwahiyo tifuatifua wameona yanga wanafaiiiiiiidi walivyochangiwa na wanavyoendelea kuchangiwa.... Nawao wameamua kupitisha bakuli... Mfyuuuuuuu
 
Kuna moja nilihudhuria jana kidada kinaishi getto la ovyo kweli..lakin nashangaa sikuona kinywaji cha bei ya magufuli..yani zile gharama ni 2m na upuuzi

Nikawa nakiangalia nasema haka katoto kanatumia nin kufikiri,
Hiyo ndio shida ya maslay kwini.... Hizo pesa angefanya mtaji Kwani angekufa ?
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom