Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,502
- 23,581
- Thread starter
- #21
Hawa WASAFI wanalindwa kwasababu MLEZI wao ni Mkuu wa Mkoa, ila raia/msanii mwingine akifanya hayo lazima aozee jela. Ushawishi huu una athariKazi wanayoifanya tena mfululizo bila kupumzika lazima matumizi ya bangi etc yahusike