Babylon
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 1,332
- 82
Nilikuta picha ya Rais wetu katika Blog ya Michuzi akiwa katika mkutano pamoja na Rais wa RHODESIA,ukiangalia utaona kuwa Rais wetu anajaribu kujiweka mbali na Mugabe, hii inatokana na waingilishi kutompenda huyu jamaa, hapa ndio hujiuliza huu udugu wa nchi za kiafrika ukoje?
Attachments
Last edited: