NCHI YANGU TZ
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 663
- 233
MKUU tayari hukumu ya ICSID imetolewa kwa mujibu wa kafulila na ilikuwa inatupa feva sisi kwamba tufanye hesabu kwa kiwango kinachokubaliwa na tanesco ili kujua tanesco inabakiwa na kiasi gani, sasa IWEJE KUSIWE NA FEDHA YA UMMA?
PIA KAMA SI FEDHA ZA UMMA ILIKUWAJE BOT IWACHUKUE MIEZI MI3 KUKUBALI KUACHIA HIZO FEDHA, kulikuwa na kigugumizi gani?