rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,190
- 20,156
Chadema ya sasa hivi haiwezi kuibua hoja zaidi ya kudandia hoja zilizoibuliwa na wengine. Nilikuwa namwona mbowe dikteta kumbe alikuwa sahihi bila yeye hakuna chama.
Kwa hiyo Spika akiikosoa serikali Chadema mnaita ni uhuni?
Siku zote kilio chetu ni kuona Bunge linaisimamia vyema Serikali.
Lakini inasikitisha sana chama cha upinzani kinapotoa baraka Serikali isiweze kuhojiwa na bunge.
CHADEMA kimedhihirisha ni chama cha ujanja ujanja kisichosimamia misingi ya demokrasia.
Kitendo cha viongozi na mashabiki wa CHADEMA kumtukana na kumshambulia Spika wa Bunge kwa kuwa kahoji mamlaka ya Rais juu ya mambo muhimu ya nchi kinasikitisha sana na kinaonyesha bado tuna safari ndefu ya kupata chama makini cha upinzani.
Ndio maana wananchi wamekata tamaa na wamevipotezea vyama vya upinzani kwa sababu ni vyama vya kusaka vyeo na fursa.
Msigwa, Lema, John Mrema wamekivua nguo chama cha CHADEMA.
Bunge lipi hilo?Ikitotanzila,
Kwa hiyo Chadema hamtaki bunge liisimamie serikali?
Mnajua kuwa wananchi wamewakataa sababu ya tabia zenu hizi za kwenda na upepo?
Tamaa umekata wewe, hapa ni hivi anayejidai mtetezi waleo Jana katuchomea nyumba Leo anakuja huku akijodai anahitaji kutujengwa nyumba, kweli kwa akili ya kawaida inawezekana, aliowachomea nyumba ndio wanaomrushia mawe.Siku zote kilio chetu ni kuona Bunge linaisimamia vyema Serikali.
Lakini inasikitisha sana chama cha upinzani kinapotoa baraka Serikali isiweze kuhojiwa na bunge.
CHADEMA kimedhihirisha ni chama cha ujanja ujanja kisichosimamia misingi ya demokrasia.
Kitendo cha viongozi na mashabiki wa CHADEMA kumtukana na kumshambulia Spika wa Bunge kwa kuwa kahoji mamlaka ya Rais juu ya mambo muhimu ya nchi kinasikitisha sana na kinaonyesha bado tuna safari ndefu ya kupata chama makini cha upinzani.
Ndio maana wananchi wamekata tamaa na wamevipotezea vyama vya upinzani kwa sababu ni vyama vya kusaka vyeo na fursa.
Msigwa, Lema, John Mrema wamekivua nguo chama cha CHADEMA.
Hakusimama kama spika wa bunge.alisimama kama ndungai mwenyewe kwa kutafuta kiki za kishamba. Chadema lazima wamzodoe kwasababu kwanza hayo madeni hayakuanza leo plil wabunge wa chadema wamei- raise sana hii issue ktk bunge na yeye akaufyata kwa kumuogopa jiwe. Sasahivi ameibuka kinafiki tuMajuzi Spika wa Bunge amei-question serikali kuhusu maswala ya mikopo na tozo.
Chadema wamemtukana sana yule mzee.
DahSiku zote kilio chetu ni kuona Bunge linaisimamia vyema Serikali.
Lakini inasikitisha sana chama cha upinzani kinapotoa baraka Serikali isiweze kuhojiwa na bunge.
CHADEMA kimedhihirisha ni chama cha ujanja ujanja kisichosimamia misingi ya demokrasia.
Kitendo cha viongozi na mashabiki wa CHADEMA kumtukana na kumshambulia Spika wa Bunge kwa kuwa kahoji mamlaka ya Rais juu ya mambo muhimu ya nchi kinasikitisha sana na kinaonyesha bado tuna safari ndefu ya kupata chama makini cha upinzani.
Ndio maana wananchi wamekata tamaa na wamevipotezea vyama vya upinzani kwa sababu ni vyama vya kusaka vyeo na fursa.
Msigwa, Lema, John Mrema wamekivua nguo chama cha CHADEMA.
Watu wasiojulikana wamepotea vyombo vya habari vipo huru na kesi za kubambikizia za uhujumu uchumi zimepotea, maiti kuokotwa kwenye vipolo kunabakia katika kumbukumbu za magufuli na makundi yake, magufuli alikuwa anaendesha nchi kwa uongo anasema tunatumia pesa zetu za ndani kumbe alikuwa anakopa kwenye mabenki ya bishara kwa riba kubwa.Huo uongozi wa kustaarabu wa SAMIA ni UPI???
Chadema wana wivu wa kike sanaNdugai ni spika wa bunge na amemkosoa rais ambaye ni kiongozi wa serikali.
Chadema mmeona kafanya kitendo kibaya mmemtukana matusi ya nguoni.
Kwani kuna bunge/wabunge au wajumbe waliochaguliwa na Rais alieiba kura na uchaguzi wote?Siku zote kilio chetu ni kuona Bunge linaisimamia vyema Serikali.
Lakini inasikitisha sana chama cha upinzani kinapotoa baraka Serikali isiweze kuhojiwa na bunge.
CHADEMA kimedhihirisha ni chama cha ujanja ujanja kisichosimamia misingi ya demokrasia.
Kitendo cha viongozi na mashabiki wa CHADEMA kumtukana na kumshambulia Spika wa Bunge kwa kuwa kahoji mamlaka ya Rais juu ya mambo muhimu ya nchi kinasikitisha sana na kinaonyesha bado tuna safari ndefu ya kupata chama makini cha upinzani.
Ndio maana wananchi wamekata tamaa na wamevipotezea vyama vya upinzani kwa sababu ni vyama vya kusaka vyeo na fursa.
Msigwa, Lema, John Mrema wamekivua nguo chama cha CHADEMA.
Mungu akinusuru hiki chama hamjui mlitendalo.Kwani kuna bunge/wabunge au wajumbe waliochaguliwa na Rais alieiba kura na uchaguzi wote?
Kuanzia spika na bunge lote..wote ni matokeo ya kupora uchaguzi ivyo hawana uhalali wa kukosoa serikali ambayo nayo ni matokeo ya wizi huo.
Ata akili ndogo ya kuona mambo hauna!
Mkuu una uhakika bunge limeisimamia serikali? ndugai aliongea kauli hizo akiwa wapi? kuna mbunge yeyote yuko upande wa ndugai? kwanini ndugai kaomba radhi?Siku zote kilio chetu ni kuona Bunge linaisimamia vyema Serikali.
Lakini inasikitisha sana chama cha upinzani kinapotoa baraka Serikali isiweze kuhojiwa na bunge.
CHADEMA kimedhihirisha ni chama cha ujanja ujanja kisichosimamia misingi ya demokrasia.
Kitendo cha viongozi na mashabiki wa CHADEMA kumtukana na kumshambulia Spika wa Bunge kwa kuwa kahoji mamlaka ya Rais juu ya mambo muhimu ya nchi kinasikitisha sana na kinaonyesha bado tuna safari ndefu ya kupata chama makini cha upinzani.
Ndio maana wananchi wamekata tamaa na wamevipotezea vyama vya upinzani kwa sababu ni vyama vya kusaka vyeo na fursa.
Msigwa, Lema, John Mrema wamekivua nguo chama cha CHADEMA.
Kama ilivyo kwa ccm, leo wanakubali tozo ila siku ikiondolewa watashangilia, kumbuka kuhusu chanjo, ilipigwa vita na maccm na leo inapigiwa debe na maccmLeo wanapinga tozo; kesho tozo zikiondolewa watapinga kwa nguvu zote 😆😆😆
Tushawazoea.
Je ccm hawajamtukana yule mzee? umeona video clip ya kiongozi wa ccm huko njombe?Majuzi Spika wa Bunge amei-question serikali kuhusu maswala ya mikopo na tozo.
Chadema wamemtukana sana yule mzee.
Akili yako imekomaa na CDM unashindwa kutafakari ujinga ulioko humo chama tawala na yanayojiri.Siku zote kilio chetu ni kuona Bunge linaisimamia vyema Serikali.
Lakini inasikitisha sana chama cha upinzani kinapotoa baraka Serikali isiweze kuhojiwa na bunge.
CHADEMA kimedhihirisha ni chama cha ujanja ujanja kisichosimamia misingi ya demokrasia.
Kitendo cha viongozi na mashabiki wa CHADEMA kumtukana na kumshambulia Spika wa Bunge kwa kuwa kahoji mamlaka ya Rais juu ya mambo muhimu ya nchi kinasikitisha sana na kinaonyesha bado tuna safari ndefu ya kupata chama makini cha upinzani.
Ndio maana wananchi wamekata tamaa na wamevipotezea vyama vya upinzani kwa sababu ni vyama vya kusaka vyeo na fursa.
Msigwa, Lema, John Mrema wamekivua nguo chama cha CHADEMA.
Chadema ni wakombozi wako? Waambie ACT wakusaidieNilipowaona CHADEMA hawana maana baadabya Mbowe kukamatwa na swala la Katiba mpya likaishia pale pale.
Kumbe walitakiwa waji organise wafanye matukio kila Mkoa kila siku Ku support alichokuwa anapigania Mbowe kama chama, ungeona hiyo SAMIA kama angeshindwa kumwachia Mbowe.
Hivyo hivyo katika hili swala la Ndugai walitakiwa watumie mwanya huu kutengeneza moto, wenyewe wamekaa kama pipa
Hongera kwa akili kubwa level za kidunia, Chadema wana akili za booster, akili zao hutegemea posho na mishahara ya ubunge. Wanamchukia Mtu na mawazo yake kama sehemu ya kisasi badala ya kulipa jema kisha badae kutumia jema kama mtaji kwenye kampeni siku zijazoSiku zote kilio chetu ni kuona Bunge linaisimamia vyema Serikali.
Lakini inasikitisha sana chama cha upinzani kinapotoa baraka Serikali isiweze kuhojiwa na bunge.
CHADEMA kimedhihirisha ni chama cha ujanja ujanja kisichosimamia misingi ya demokrasia.
Kitendo cha viongozi na mashabiki wa CHADEMA kumtukana na kumshambulia Spika wa Bunge kwa kuwa kahoji mamlaka ya Rais juu ya mambo muhimu ya nchi kinasikitisha sana na kinaonyesha bado tuna safari ndefu ya kupata chama makini cha upinzani.
Ndio maana wananchi wamekata tamaa na wamevipotezea vyama vya upinzani kwa sababu ni vyama vya kusaka vyeo na fursa.
Msigwa, Lema, John Mrema wamekivua nguo chama cha CHADEMA.
Huyo muhuni mmoja ndio bunge??hapo ndio kuisimamia serikali, chadema iko mioyoni mwa watu, wewe ukitaka kuliona hilo ruhusuni mikutano muone!!miaka 5 ya jpm ilipitia magumu sana, lakini nini kilitokea kwenye uchaguzi wa 2020?licha ya vikwazo vilivyokuwepo?Siku zote kilio chetu ni kuona Bunge linaisimamia vyema Serikali.
Lakini inasikitisha sana chama cha upinzani kinapotoa baraka Serikali isiweze kuhojiwa na bunge.
CHADEMA kimedhihirisha ni chama cha ujanja ujanja kisichosimamia misingi ya demokrasia.
Kitendo cha viongozi na mashabiki wa CHADEMA kumtukana na kumshambulia Spika wa Bunge kwa kuwa kahoji mamlaka ya Rais juu ya mambo muhimu ya nchi kinasikitisha sana na kinaonyesha bado tuna safari ndefu ya kupata chama makini cha upinzani.
Ndio maana wananchi wamekata tamaa na wamevipotezea vyama vya upinzani kwa sababu ni vyama vya kusaka vyeo na fursa.
Msigwa, Lema, John Mrema wamekivua nguo chama cha CHADEMA.
Aliyetukana Ni katibu muenezi wa CCM Mkoa wa njombeNdugai ni spika wa bunge na amemkosoa rais ambaye ni kiongozi wa serikali.
Chadema mmeona kafanya kitendo kibaya mmemtukana matusi ya nguoni.