mmh
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,910
- 5,081
Wakati wanatupa habari juu ya hotuba ya Mbowe kwa taifa kwenye uzi ule nilimpa tahadhari Mbowe awe smart tupo ambao tunasoma upepo.
Nimesikitika hotuba ya Mbowe imekosa madhumuni imejaa ubinafsi, lawama, majuto na umwamba plus fitina na chuki.
Leo ndo nimeamini Mbowe hayuko serious na taifa kachukuliwa sana na emotions na huruka zake tu.
Mbowe huyu tukisema tumchambue mabaya yake yapo kibao vitabu vitajaa, kuna watu wengi wamekimbia CHADEMA kwa ajili yake!! Lakini leo kasahau. Sikusidii kuwataja.
Mimi nimeconfirm rasmi leo tusije kujidanganya kwenda kwenye chama chake kwa hasira ya yanayoendelea ya wasaliti wa mwendazake. Tuendelee kuvuta subira huku tukisoma nani ni nani, na mwisho kwa pamoja tutajuzana wapi kunafaa.
Mungu aendelee kuwatunza mataga wenzangu.
Nimesikitika hotuba ya Mbowe imekosa madhumuni imejaa ubinafsi, lawama, majuto na umwamba plus fitina na chuki.
Leo ndo nimeamini Mbowe hayuko serious na taifa kachukuliwa sana na emotions na huruka zake tu.
Mbowe huyu tukisema tumchambue mabaya yake yapo kibao vitabu vitajaa, kuna watu wengi wamekimbia CHADEMA kwa ajili yake!! Lakini leo kasahau. Sikusidii kuwataja.
Mimi nimeconfirm rasmi leo tusije kujidanganya kwenda kwenye chama chake kwa hasira ya yanayoendelea ya wasaliti wa mwendazake. Tuendelee kuvuta subira huku tukisoma nani ni nani, na mwisho kwa pamoja tutajuzana wapi kunafaa.
Mungu aendelee kuwatunza mataga wenzangu.