Nimesikiliza Shule ya Uongozi ya Polepole, nimejua Polepole hapaswi tena kupewa nafasi yoyote kubwa ya kiuongozi

chinchilla coat

JF-Expert Member
May 16, 2016
5,107
10,961
Ndugu Polepole katika vipindi vyake vya Shule ya Uongozi anazungumzia mambo mengi lakini theme kuu ni kupinga mataifa ya magaharibi.

Katika moja ya mafundisho yake Polepole anasema tusitumie vigezo vya nchi za Magharibi kupima maendeleo ya nchi yetu.

Akitolea mfano suala la watu kujua kusoma na kuandika (literacy rate) katika nchi fulani halipaswi kuchukuliwa kama moja ya kipimo cha maendeleo.

Akasema pia kuna takwimu kama vile kasi ya ukuaji uchumi (GDP growth rate) na takwimu za magonjwa na vifo vyote hivi ni vipimo vya kimagharibi vya kupima maendeleo na hatutakikiwi kuvitumia.

Akaendelea kutoa mfano mfugaji Mmasai mwenye ng'ombe 1000 Tz lakini kwa vigezo vya kimagharibi huyu mmasai ni masikini lakini tunapaswa kumuita ni tajiri kwani mtu mwenye ng'ombe 1000 Ulaya anaitwa tajiri.

Polepole anataka tutumie vigezo vya nchi kama China au Singapore kupima maendeleo.

Sasa nilichojiuliza ni China na Singapore zinapoitwa ni nchi zilizopiga hatua kubwa kimaendeleo kwani ni vigezo vipi hutumiwa?

Si ndio hivi hivi vya kimagharibi? Zinaitwa zimeendelea kwa sababu wananchi wake wana makazi bora, huduma nzuri za afya, usafiri, nishati ya uhakika , high litetacy rate n.k.

Wamasai wenye ng'ombe 1000 ila wanakunywa maji machafu na mifugo, kuhama hama na kulala kwenye nyumba zinayovuja zisizokuwa na umeme, hawa kwa vigezo vya China au Singapore ni wananchi walioendelea?

Halafu Polepole anasema tukae mbali na nchi za magharibi kwani hawana nia nzuri na nchi yetu na kutaka tuwe karibu na China, lakini China hii ndio waliituhumu kutaka kuingiza nchi mkenge kwenye bandari ya Bagamoyo.

China ndio imekopesha nchi za Africa kama Kenya mikopo mikubwa ya kimtego isiyolipika kwa lengo baya.

China ndio hii tunasikia wametifisha bandari baadhi ya nchi zilizoshindwa kulipa mikopo yao.

Polepole sababu anachukia nchi za magharibi imemtia upofu hadi kushindwa kuona vitu vya logic ndogo tu, huyu mtu na walio nyuma yake ni hatari na hawapaswi tena kupewa nafasi ya kuongoza nchi yetu, wataturudisha Tanzania mbovu kuliko ile ya miaka ya 1980s.

 
Bado anaota! ... kabla, na baada, ya kuvuruga uchaguzi mkuu wa 2020 plan B ya Jiwe na wajoli zake kina polepole ilikuwa ni kulalia China ... maana walijua fika kuwa nchi za magharibi zinaenda kuwatenga!
... KWAMBA CHINA ITATUMIA FURSA HIYO KUTUNYANYASA NA KUTUFANYA KOLONI LAKE MAMBOLEO KWAO HAIKUJALISHA! ... AS LONG AS WAO WANAENDELEA KUTAWALA!
DISGUSTING!
NB: Kwa Polepole nchi ni ya viongozi, wavaa Kaunda suti wachache, ... na waliobaki ni sawa na mifugo wengine tuu!
 
Wewe kama nani, Njaa zenu ndio zimewajaza wivu mkitatajia mpewe ulaji kupitia wivu na uchonganishi, kwa aina hii ya kuwasukia watu zengwe, hata mkipata hiyo nafasi hamuwezi kukaa kwa muda mrefu kwa sababu hamuwezi kutafuta teuzi kwa haki, mpaka mchonganishe wengine
 
Kama sio Wamagharibi kuekeza pale Dubai mpaka Leo waarabu wangekuwa wanauza kahawa tu. Na kule China kampuni nyingi za kimagharibi zimehamia kwao ndio maana unaona maendeleo mengi. Angalia Saudi Arabia leo ina mpaka mashamba kwenye jangwa ni haohao ulaya wanao wafanyia hivyo. Huyu kibabu chetu polepole kinatuzingua sisi tu huku makima nation.



Lunatic
 
Ndugu Polepole katika vipindi vyake vya Shule ya Uongozi anazungumzia mambo mengi lakini theme kuu ni kupinga mataifa ya magaharibi

Katika moja ya mafundisho yake Polepole anasema tusitumie vigezo vya nchi za Magharibi kupima maendeleo ya nchi yetu

Akitolea mfano suala la watu kujua kusoma na kuandika (literacy rate) katika nchi fulani halipaswi kuchukuliwa kama moja ya kipimo cha maendeleo

Akasema pia kuna takwimu kama vile kasi ya ukuaji uchumi (GDP growth rate) na takwimu za magonjwa na vifo vyote hivi ni vipimo vya kimagharibi vya kupima maendeleo na hatutakikiwi kuvitumia

Akaendelea kutoa mfano mfugaji Mmasai mwenye ng'ombe 1000 Tz lakini kwa vigezo vya kimagharibi huyu mmasai ni masikini lakini tunapaswa kumuita ni tajiri kwani mtu mwenye ng'ombe 1000 Ulaya anaitwa tajiri

Polepole anataka tutumie vigezo vya nchi kama China au Singapore kupima maendeleo

Sasa nilichojiuliza ni China na Singapore zinapoitwa ni nchi zilizopiga hatua kubwa kimaendeleo kwani ni vigezo vipi hutumiwa?

Si ndio hivi hivi vya kimagharibi? Zinaitwa zimeendelea kwa sababu wananchi wake wana makazi bora, huduma nzuri za afya, usafiri, nishati ya uhakika , high litetacy rate n.k

Wamasai wenye ng'ombe 1000 ila wanakunywa maji machafu na mifugo, kuhama hama na kulala kwenye nyumba zinayovuja zisizokuwa na umeme, hawa kwa vigezo vya China au Singapore ni wananchi walioendelea?

Halafu Polepole anasema tukae mbali na nchi za magharibi kwani hawana nia nzuri na nchi yetu na kutaka tuwe karibu na China, lakini China hii ndio waliituhumu kutaka kuingiza nchi mkenge kwenye bandari ya Bagamoyo

China ndio imekopesha nchi za Africa kama Kenya mikopo mikubwa ya kimtego isiyolipika kwa lengo baya

China ndio hii tunasikia wametifisha bandari baadhi ya nchi zilizoshindwa kulipa mikopo yao...

Polepole sababu anachukia nchi za magharibi imemtia upofu hadi kushindwa kuona vitu vya logic ndogo tu, huyu mtu na walio nyuma yake ni hatari na hawapaswi tena kupewa nafasi ya kuongoza nchi yetu, wataturudisha Tanzania ya miaka ya 1980s....
Yeye ndio views zake nawe toa zako blalifakeni..
 
Ndugu Polepole katika vipindi vyake vya Shule ya Uongozi anazungumzia mambo mengi lakini theme kuu ni kupinga mataifa ya magaharibi

Katika moja ya mafundisho yake Polepole anasema tusitumie vigezo vya nchi za Magharibi kupima maendeleo ya nchi yetu

Akitolea mfano suala la watu kujua kusoma na kuandika (literacy rate) katika nchi fulani halipaswi kuchukuliwa kama moja ya kipimo cha maendeleo

Akasema pia kuna takwimu kama vile kasi ya ukuaji uchumi (GDP growth rate) na takwimu za magonjwa na vifo vyote hivi ni vipimo vya kimagharibi vya kupima maendeleo na hatutakikiwi kuvitumia

Akaendelea kutoa mfano mfugaji Mmasai mwenye ng'ombe 1000 Tz lakini kwa vigezo vya kimagharibi huyu mmasai ni masikini lakini tunapaswa kumuita ni tajiri kwani mtu mwenye ng'ombe 1000 Ulaya anaitwa tajiri

Polepole anataka tutumie vigezo vya nchi kama China au Singapore kupima maendeleo

Sasa nilichojiuliza ni China na Singapore zinapoitwa ni nchi zilizopiga hatua kubwa kimaendeleo kwani ni vigezo vipi hutumiwa?

Si ndio hivi hivi vya kimagharibi? Zinaitwa zimeendelea kwa sababu wananchi wake wana makazi bora, huduma nzuri za afya, usafiri, nishati ya uhakika , high litetacy rate n.k

Wamasai wenye ng'ombe 1000 ila wanakunywa maji machafu na mifugo, kuhama hama na kulala kwenye nyumba zinayovuja zisizokuwa na umeme, hawa kwa vigezo vya China au Singapore ni wananchi walioendelea?

Halafu Polepole anasema tukae mbali na nchi za magharibi kwani hawana nia nzuri na nchi yetu na kutaka tuwe karibu na China, lakini China hii ndio waliituhumu kutaka kuingiza nchi mkenge kwenye bandari ya Bagamoyo

China ndio imekopesha nchi za Africa kama Kenya mikopo mikubwa ya kimtego isiyolipika kwa lengo baya

China ndio hii tunasikia wametifisha bandari baadhi ya nchi zilizoshindwa kulipa mikopo yao...

Polepole sababu anachukia nchi za magharibi imemtia upofu hadi kushindwa kuona vitu vya logic ndogo tu, huyu mtu na walio nyuma yake ni hatari na hawapaswi tena kupewa nafasi ya kuongoza nchi yetu, wataturudisha Tanzania ya miaka ya 1980s....
Naona kama kuna operation ya chini chini imeanzishwa kikundi fulani chenye lengo la kutaka kumpaka matope Mzalendo Pole Pole - kisa? Hawataki ateuliwe kwenye wadhifa wowote Serikalini au Chamani - campaign hii chafu dhidi ya Pole Pole wahusika, as I said wanaonekana wako well organised to assassinated him politically!!
 
Yaani na wewe unakaa kabisa kusikiliza huo upuuzi wa chakubanga sasa kama anaona China na Singapore zimesogea kimaendeleo atuambie imekuaje watuache ihali 1960s tulikua tunafanana, na ni akina nani wamefanya tuwe hapo tusisongee?, Mi nadhani kwa Tanzania ya leo ukiniambia nani ni beberu nitakwambia CCM na watu wake ndio wamefanya nchi hii imedumaa licha ya utitiri wa rasilimali ie CCM wanategemea ujinga wa rasilimali watu ili wao waendelee kutawala sio maendeleo ukizingatia maendeleo yoyote endelevu yanaletwa kwanza kwa kuwa na rasilimali watu iliyo endelea ili kusimamia rasilimali zingine. Huyo chakubanga mbona hamzungumzii tena katiba mpya katika kujenga misingi bora ya kimfumo na kitaasisi kuongeza uwazi,uwajibikaji,dhamani katika matumizi ya rasilimali za nchi kwa maendeleo ya watu wote sio kikundi kidogo cha wazee wa maviete.
 
Wewe kama nani, Njaa zenu ndio zimewajaza wivu mkitatajia mpewe ulaji kupitia wivu na uchonganishi, kwa aina hii ya kuwasukia watu zengwe, hata mkipata hiyo nafasi hamuwezi kukaa kwa muda mrefu kwa sababu hamuwezi kutafuta teuzi kwa haki, mpaka mchonganishe wengine
Mimi mwananchi wa kawaida tu, sihitaji teuzi natoa maoni kuhusu nchi yangu
 
Back
Top Bottom